UDA yatoa msaada wa shilingi milioni 15 kwa kanisa la Mt. Rita
![](http://3.bp.blogspot.com/-6F-XL44ydxU/U9n_oP5LVxI/AAAAAAACmgI/Zkj-ZaMYpLU/s72-c/St.+RITA+PIX+1.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akisisitiza jambo kwa Paroko Msaidizi wa Kigango cha Kanisa la Mavurunza, Padri Xavery Kassase kabla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 15 kwa Kigango cha Kanisa la Mtakatifu Rita kusaidia mradi wa ujenzi wa nyumba ya mapadri wakati wa harambee iliyofanyika kanisani hapo hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Mar
BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA
![IMG_8466](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qBbHn3ex1QH4wUhuFuh6XuEWW6G8KKw9y823fiV9-Xr-UwItodKhA7ODKuTZzVfjvsmX3rrI0gYQdqq2bsXSIO1VfAEz7leCiMI84tllMJPFs1MBzH64QsA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8466.jpg?w=660)
Meneja Masoko wa bank ya CBA Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)
![IMG_8493](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RzU6zQqPdnN_-Kh2UH2uFeVWmb0zfbrn7_-r1nsCKnR42Fm3Lngs4m13jdIAP9QrV98tQce-ODyS0wGrZ3_f_vEz6HNFzm45nZddZOIC_GX9B4JSayqyF6s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8493.jpg?w=660)
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Zantel yatoa msaada wa shilingi milioni 10 kwa ajili ya kukarabati shule ya Msingi Mkanyageni iliyoko Pemba
Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni ya Zantel upande wa Zanzibar, Bwana Mohamed Musa akikabidhi hundi ya Shilingi millioni 10 kwa Mwenyekiti wa Shule ya Msingi Mkanyageni, Bwana Ally Ngwali Vuai iliyoko visiwani Pemba kwa ajili ya kukamiIsha ujenzi wa vyumba sita vya madarasa vitakavyotumiwa na watoto zaidi ya 350. Anayeshuhudia ni Mkurugugenzi wa Mauzo Zantel, Bwana Sukhwinder Bajwa pamoja na wanafunzi na wajumbe wa kamati ya shule hiyo.
Mkuu wa Shule ya Msingi Mkanyageni, Bwana Ramadhani...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s72-c/IPTL+1.jpg)
IPTL yatoa shilingi milioni 14.5 kusaidia ujenzi wa Kanisa la Mtakatifu Petro
![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s1600/IPTL+1.jpg)
10 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 165 KWA AJILI YA MASHINE YA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI, CHATO MKOANI GEITA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x-EqlrNMLug/VRknd7H64zI/AAAAAAABVwU/KY3ycrhShLE/s72-c/Mchungaji.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA MATOSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x-EqlrNMLug/VRknd7H64zI/AAAAAAABVwU/KY3ycrhShLE/s1600/Mchungaji.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s72-c/IMG_8451.jpg)
TTCL YATOA MSAADA WA KOMPUTA NA KIFURUSHI CHA INTERNET YENYE KASI YA 2MBPS VYENYE JUMLA YA SHILINGI MILIONI 20.169 KWA KITUO CHA GLOBAL OUTREACH TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s640/IMG_8451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYmjox1BDmM/VVM2LHd9CHI/AAAAAAAHXAA/DR6Kqfgnt6Y/s640/IMG_8475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4TRJND79VHU/VVM2ORFYzcI/AAAAAAAHXAI/tcivf9S_vo8/s640/IMG_8492.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s72-c/IMG-20150808-WA0024.jpg)
MSAADA KWA HILI: SHILINGI MILIONI 50 ZINAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA KIJANA HUYU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLenu5ZdBXY/VcYMTtfXheI/AAAAAAAAAhE/-vz2XjbXJnk/s1600/IMG-20150808-WA0024.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Kijana Abel mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa Ukonga Mombasa jijini Dar es Salaam anakabiliwa na maradhi ya macho na mishipa ya fahamu hali iliyosababisha apoteze uwezo wa kuona, na hivyo...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Kanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule
Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu.
Na Nathaniel Limu, Singida
KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 214.1 milioni kugharamia ujenzi wa shule ya awali ya bweni.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Magreth Ndwete wakati akisoma risala fupi ya kanisa hilo kwenye hafla ya kusimikwa kwa askofu wa kwanza wa kanisa hilo John Sanongo Tesha (58), Mgeni rasmi katika hafla...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s72-c/n9.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBOSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s1600/n9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hxXB3OdkTP4/U3nlUqmXoKI/AAAAAAAA_KU/27xJBKlQIJQ/s1600/n10.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10