KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N-XjeYON8Sw/XusPtdLD0kI/AAAAAAALuYQ/uRg-Qjgmfk8S55MVCk90xsUqOYA5mZd0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B9.51.57%2BAM.jpeg)
NDUGU NGEMELA LUBINGA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI MKOANI GEITA.
Katika mazungumzo hayo Ndugu Lubinga amepongeza Viongozi hao kwa kupata dhamana ya kufanya kazi na kuwa Viongozi Mkoani hapo kwani dhamana waliyonayo ni kubwa hivyo kila mtu kwenye nafasi yake...
5 years ago
CCM Blog15 Jun
NGEMELA LUBINGA AWASILI MKOANI GEITA KWA ZIARA YA KIKAZI
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu Ngemela Lubinga amewasili Mkoani Geita na kupokelewa na Viongozi wa Chama na Serikali.
Aidha amekutana na Viongozi wa kamati ya Siasa ya Mkoa na kupokea taarifa mbali mbali zinazohusiana na Mkoa huo.
Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa Geita Mheshimiwa Eng.Robert Gabriel amewasilisha taarifa ya miradi mbalimbali kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s640/16.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9FSsYDUL6rs/VYBT6mk4NWI/AAAAAAAC60U/0kf7lnWnWUg/s72-c/21.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA WILAYA YA BUKOMBE MKOAN GEITA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9FSsYDUL6rs/VYBT6mk4NWI/AAAAAAAC60U/0kf7lnWnWUg/s1600/21.jpg)
Baada ya uwekaji wa jiwe la msingi...
9 years ago
StarTV31 Dec
Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu Â
Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.
Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.
Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.
Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-72m7NoLRz4k/VYcG-3DZIqI/AAAAAAAC7Pk/tlguuKE4Qw8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfhMajC7n7E/VYcG2bLrT6I/AAAAAAAC7OY/XmXw9PC7INU/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rF_OtEccg3M/VYcG4VnBIEI/AAAAAAAC7Os/pOkGodRkSao/s640/15.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA MSAFARA WAKE WAWASILI LEO MKOANI GEITA NA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C3u2IVT-euM/VX8fBnwFhiI/AAAAAAAHfwQ/H9viT7ppeqw/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJUIJGg0nY4/VX8fSVHbxqI/AAAAAAAHfxw/M659oGqgWLY/s640/20.jpg)
10 years ago
VijimamboZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA