Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NDUGU NGEMELA LUBINGA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI MKOANI GEITA.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa Geita amekutana na kuzunguza na Viongozi wa CCM Mkoa, Katibu Tawala Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri na Mji Geita.

Katika mazungumzo hayo Ndugu Lubinga amepongeza Viongozi hao kwa kupata dhamana ya kufanya kazi na kuwa Viongozi Mkoani hapo kwani dhamana waliyonayo ni kubwa hivyo kila mtu kwenye nafasi yake...

 

5 years ago

CCM Blog

NGEMELA LUBINGA AWASILI MKOANI GEITA KWA ZIARA YA KIKAZI

Mwandishi Maalum, Geita
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu Ngemela Lubinga amewasili Mkoani Geita na kupokelewa na Viongozi wa Chama na Serikali.

Aidha amekutana na Viongozi wa kamati ya Siasa ya Mkoa na kupokea taarifa mbali mbali zinazohusiana na Mkoa huo.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa Geita Mheshimiwa Eng.Robert Gabriel amewasilisha taarifa ya miradi mbalimbali kama...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimsikiliza kwa makini, Diwani wa Nyakafulwa, Mathias Nyororo, aliyekuwa akifafanua kutoanza kwa mradi wa maji kijiji cha Masumwe, licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa fedha za mradi huo kiasi cha milioni 200,miezi sita iliyopita.Ufafanuzi huo ulitokana na baada ya wananchi kulalamika kutopata maji katika kijiji hicho katika mkutano wa hadhara ambao Kinana aliufanya katika kata ya Masumbwe,  utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA WILAYA YA BUKOMBE MKOAN GEITA.

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ukivuka mto kuelekea katika kijiji cha Ilyanchele wilayani Bukombe wakati akiwa katika ziara ya kikazi katika wilaya hiyo kuelekea katika kijiji hicho hata hivyo msafara huo haukuweza kuvuka mto mkubwa wa Ilyanchele na magari  kutokana na kutokuwepo kwa daraja linalounganisha kijiji hicho ambapo leo ndiyo limewekwa  jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa daraja hilo  na Ndugu Abdulrahman Kinana.

Baada ya uwekaji wa jiwe la msingi...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu  

 

Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.

Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.

Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.

Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA

   Katibu Mkuu wa CCM ndugu Kinana (kulia) akikagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya  katika Kata ya Nyehunge Kijiji cha Isaka, Jimbo la Buchosa, wilayani Sengerema, Mwanza leo.  Katibu Mkuu wa CCM ndugu Kinana  akitoka akikagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya  katika Kata ya Nyehunge Kijiji cha Isaka, Jimbo la Buchosa, wilayaniSengerema, Mwanza leo.   Kinana akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa mradi wa maji  katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyehunge, Jimbo la Buchosa.  Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita

????????????????????????????????????

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA MSAFARA WAKE WAWASILI LEO MKOANI GEITA NA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA

Katibu Mkuu wa CCM,Ndg Kinana akisisitiza jambo mbele ya Wananchi (hawapo pichani),kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo katika viwanja vya stendi ya mabasi mjini humo.Umati wa wakazi wa Chato mjini wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akihutubia kwenye uwanja wa stendi ya Zamani.Katibu Mkuu wa CCM aliwaambia wananchi hao kuwa Serikali inabidi ifute kodi kandamizi zinazowazuia wananchi kurahisisha maisha yao. Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

 Mkuu wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita Amani Mwinyigoha akisoma taarifa ya wilaya ya mbogwe kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo . Baadhi ya watumishi wa Halimashauri ya mbogwe wakisikiliza hotuba ya mkuu wa mkoa wa geita Fatuma mwassa wakati wa kukangua na kuangalia maendeleo ya wilaya yake ambayo ipo katika mkoa wake. Mwenye sharti la dalfti muandisi wa maji Daud Amlima akitoa maelenzo juu ya mradi wa maji katika kijiji cha sheda wilayani mbogwe mkoani geita ambapo alifanya ziara ya siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani