NGEMELA LUBINGA AWASILI MKOANI GEITA KWA ZIARA YA KIKAZI
Mwandishi Maalum, Geita
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu Ngemela Lubinga amewasili Mkoani Geita na kupokelewa na Viongozi wa Chama na Serikali.
Aidha amekutana na Viongozi wa kamati ya Siasa ya Mkoa na kupokea taarifa mbali mbali zinazohusiana na Mkoa huo.
Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa Geita Mheshimiwa Eng.Robert Gabriel amewasilisha taarifa ya miradi mbalimbali kama...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N-XjeYON8Sw/XusPtdLD0kI/AAAAAAALuYQ/uRg-Qjgmfk8S55MVCk90xsUqOYA5mZd0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B9.51.57%2BAM.jpeg)
NDUGU NGEMELA LUBINGA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI MKOANI GEITA.
Katika mazungumzo hayo Ndugu Lubinga amepongeza Viongozi hao kwa kupata dhamana ya kufanya kazi na kuwa Viongozi Mkoani hapo kwani dhamana waliyonayo ni kubwa hivyo kila mtu kwenye nafasi yake...
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--S6GYknhw1Y/Xl0zQhKYO5I/AAAAAAALgcA/tMmO6XEZBh4_pgpsfPb2vJn1QLszai4cwCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-768x512.jpg)
IGP SIRRO AWASILI MKOANI MANYARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--S6GYknhw1Y/Xl0zQhKYO5I/AAAAAAALgcA/tMmO6XEZBh4_pgpsfPb2vJn1QLszai4cwCLcBGAsYHQ/s640/1AA-768x512.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa ujenzi wa kituo cha Polisi kilichopo wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, leo 02/03/2020 wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya kikazi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-B3ynG1IlYZI/Xl0zbO6c_4I/AAAAAAALgcE/0Nh3Ix9zAlImhGm_VDvNB--8_K290JwxACLcBGAsYHQ/s640/2AA-768x563.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akizungumza na Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Paul Kasabago, wakati akipokelewa na mwenyeji wake kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo leo 02/03/2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-jlLQPfH4cdo/Xl0zfhPnj2I/AAAAAAALgcI/Fne-dO-zUS43NeCWP7TqgHYVwqQINnwaQCLcBGAsYHQ/s640/3AA-768x589.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s72-c/P2197629.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI AWASILI MKOANI RUKWA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU, AAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VITEULE VYA JESHI VYA KIRANDO NA KASANGA MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s1600/P2197629.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvmoEYVl3I4/UwWcaCNt7FI/AAAAAAAAFBo/n_TcHb0_SXI/s1600/P2197636.jpg)
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AWASILI MKOANI TABORA KATIKA ZIARA YA KIKAZI
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE SAMIA AWASILI MKOANI GEITA KUANZA ZIARA LEO
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...