WAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akisalimiana Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed Haji Hassan, wakati alipokuwa anawasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, mjini Unguja, Zanzibar, leo, kwa ajili ya ziara ya kikazi. Kulia ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
Lengo la ziara ya Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (Arabian Gulf) na bara la Afrika.
Vile vile Waziri Mkuu anatarajiwa kutangaza fursa za uwekezaji nchini Tanzania,...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FK7Othc0jv4/XltqpsM5RbI/AAAAAAALgMk/ppfIXS-iVHs-e8lUuZ3__inZuDmQs2kMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI TANGA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FK7Othc0jv4/XltqpsM5RbI/AAAAAAALgMk/ppfIXS-iVHs-e8lUuZ3__inZuDmQs2kMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wKP-wm6EIlo/VJcTgnHyfsI/AAAAAAAG44o/9Wth66iFV0A/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s72-c/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
DKT. BASHIRU AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s640/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/42f6752a-3e55-422d-9884-62e30152b863-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya siku tatu.
Dkt. Bashiru amewasili asubuhi ya leo tarehe 21 Februari, 2020 uwanja wa ndege wa Mtwara mjini na kupokelewa na mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM.
Katibu Mkuu atatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya za Mtwara Vijijini na Masasi na kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Halmashauri Kuu ya CCM ya...
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Pinda awasili Tanga kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gallawa. (Picha na Ofisi ya Waziri...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhIBLT6B-R4l1UFGhdMNs1oJGHt*GeEnINePsWEgtIgbpiX7Wa0N8eOC8ESOWTDQTq*eNYedZe77N*3frIDLS4/kikwe1.jpg?width=650)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC