NDUGU NGEMELA LUBINGA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-N-XjeYON8Sw/XusPtdLD0kI/AAAAAAALuYQ/uRg-Qjgmfk8S55MVCk90xsUqOYA5mZd0wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B9.51.57%2BAM.jpeg)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa Geita amekutana na kuzunguza na Viongozi wa CCM Mkoa, Katibu Tawala Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri na Mji Geita.
Katika mazungumzo hayo Ndugu Lubinga amepongeza Viongozi hao kwa kupata dhamana ya kufanya kazi na kuwa Viongozi Mkoani hapo kwani dhamana waliyonayo ni kubwa hivyo kila mtu kwenye nafasi yake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
5 years ago
CCM Blog15 Jun
NGEMELA LUBINGA AWASILI MKOANI GEITA KWA ZIARA YA KIKAZI
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu Ngemela Lubinga amewasili Mkoani Geita na kupokelewa na Viongozi wa Chama na Serikali.
Aidha amekutana na Viongozi wa kamati ya Siasa ya Mkoa na kupokea taarifa mbali mbali zinazohusiana na Mkoa huo.
Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa Geita Mheshimiwa Eng.Robert Gabriel amewasilisha taarifa ya miradi mbalimbali kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s640/16.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-72m7NoLRz4k/VYcG-3DZIqI/AAAAAAAC7Pk/tlguuKE4Qw8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfhMajC7n7E/VYcG2bLrT6I/AAAAAAAC7OY/XmXw9PC7INU/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rF_OtEccg3M/VYcG4VnBIEI/AAAAAAAC7Os/pOkGodRkSao/s640/15.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA MSAFARA WAKE WAWASILI LEO MKOANI GEITA NA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yf63UQvT_64/VX8fUsG_EgI/AAAAAAAHfyM/qdr7-oAlmXg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C3u2IVT-euM/VX8fBnwFhiI/AAAAAAAHfwQ/H9viT7ppeqw/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jJUIJGg0nY4/VX8fSVHbxqI/AAAAAAAHfxw/M659oGqgWLY/s640/20.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s640/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s72-c/a3.jpg)
JK akutana Na viongozi Wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbNYqeDDwQU/VPieIQWMSzI/AAAAAAAHH58/F5dkcxNFsXU/s1600/a3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2tOLC1_jU0/VPieM-t8vlI/AAAAAAAHH6M/tQ6A2Oa6tEA/s1600/a2.jpg)