IGP SIRRO AWASILI MKOANI MANYARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/--S6GYknhw1Y/Xl0zQhKYO5I/AAAAAAALgcA/tMmO6XEZBh4_pgpsfPb2vJn1QLszai4cwCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-768x512.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa ujenzi wa kituo cha Polisi kilichopo wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, leo 02/03/2020 wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Manyara kwa ajili ya ziara ya kikazi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akizungumza na Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Paul Kasabago, wakati akipokelewa na mwenyeji wake kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani humo leo 02/03/2020.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
CCM Blog15 Jun
NGEMELA LUBINGA AWASILI MKOANI GEITA KWA ZIARA YA KIKAZI
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu Ngemela Lubinga amewasili Mkoani Geita na kupokelewa na Viongozi wa Chama na Serikali.
Aidha amekutana na Viongozi wa kamati ya Siasa ya Mkoa na kupokea taarifa mbali mbali zinazohusiana na Mkoa huo.
Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa Geita Mheshimiwa Eng.Robert Gabriel amewasilisha taarifa ya miradi mbalimbali kama...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ooQnacLhpoY/VZf2X7Z-pRI/AAAAAAAHm3c/E5uvCj-cvJQ/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
IGP MANGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ooQnacLhpoY/VZf2X7Z-pRI/AAAAAAAHm3c/E5uvCj-cvJQ/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uqadbYFcOsQ/VZf2X5KH8II/AAAAAAAHm3M/Rw5ykqdxeq8/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s72-c/P2197629.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI AWASILI MKOANI RUKWA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU, AAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VITEULE VYA JESHI VYA KIRANDO NA KASANGA MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtopsaAH-xA/UwWcQrHPSQI/AAAAAAAAFBg/B4zOhJTO7IE/s1600/P2197629.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvmoEYVl3I4/UwWcaCNt7FI/AAAAAAAAFBo/n_TcHb0_SXI/s1600/P2197636.jpg)
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AWASILI MKOANI TABORA KATIKA ZIARA YA KIKAZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B1LTxA_7O18/U4cACO2XSII/AAAAAAACicA/2ou1KsNdnRg/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI BABATI LEO, AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B1LTxA_7O18/U4cACO2XSII/AAAAAAACicA/2ou1KsNdnRg/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k_HQcb7u2Hw/U4b_8aT-OPI/AAAAAAACibY/uTi3goEjv0A/s1600/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s72-c/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
DKT. BASHIRU AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s640/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/42f6752a-3e55-422d-9884-62e30152b863-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya siku tatu.
Dkt. Bashiru amewasili asubuhi ya leo tarehe 21 Februari, 2020 uwanja wa ndege wa Mtwara mjini na kupokelewa na mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM.
Katibu Mkuu atatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya za Mtwara Vijijini na Masasi na kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Halmashauri Kuu ya CCM ya...
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
Lengo la ziara ya Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (Arabian Gulf) na bara la Afrika.
Vile vile Waziri Mkuu anatarajiwa kutangaza fursa za uwekezaji nchini Tanzania,...