MAKAMU WA RAIS MHE SAMIA AWASILI MKOANI GEITA KUANZA ZIARA LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Geita Mhe. Fatma Mwassa alipowasili Uwanja wa Ndege wa GGM Geita leo Januari 04,2016 kwa ajili ya kuanza ziara ya siku mbili ya kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo Mkoani humo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na akina mama wa UWT Geita alipowasili Uwanja wa ndege wa GGM Geita Leo Januari 04, 2016 kwa ajili ya kuanza ziara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qio87eXBtXk/VouQ7C3jDyI/AAAAAAAIQaI/HaTrLC6616U/s72-c/OTH_6109.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qio87eXBtXk/VouQ7C3jDyI/AAAAAAAIQaI/HaTrLC6616U/s640/OTH_6109.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8VkqZUKhvbk/VouQ7156eeI/AAAAAAAIQaU/t94M6n8qJFg/s640/OTH_6135.jpg)
9 years ago
MichuziMakamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Azindua Miradi ya Maendeleo Mkoani Geita leo
Mradi mkubwa wa maji wenye thamani ya Tshs 12Billion uliojengwa kwa ushirikiano kati ya Mgodi na serikali ambao utapunguza tatizo la maji safi na salama kwa mkoa wa Geita kwa zaidi ya asilimia 35% umezinduliwa, ambapo kwa mara ya kwanza, wananchi wa Geita wataweza...
9 years ago
MichuziMKAMU WA RAIS SAMIA AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI GEITA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4992-2-768x546.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KICHAMA MKOA WA DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-bs-Z9sAfN84/XvePz-y8O4I/AAAAAAALvsQ/4c_9Vevmm1E-_GBA04u_aB0PMMisNOtgACLcBGAsYHQ/s640/F87A4992-2-768x546.jpg)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Dar es Salaam alipowasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam leo Juni 27,2020 kwa ajili ya mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya Kichama katika Mkoa wa Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A5005-2-1024x553.jpg)
5 years ago
CCM Blog22 Jun
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFANYA ZIARA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI YA CCM KIGAMBONI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4579-2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IGUNGA MKOANI TABORA JIONI LEO,KUANZA ZIARA YA SIKU 10 MKOANI HUMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jwzjC0jcNE0/U2uqMu4fbNI/AAAAAAACghQ/DLBJVfNN8MA/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s72-c/unnamed+(30).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI JAPAN JIONI HII KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzQNoDEKiCU/U3jyP09PayI/AAAAAAAFjjI/X5dsNbNQ_hU/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
MichuziMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.