Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Seif Sharif Hamad, akiwa na ujumbe wa SMZ mjini Doha kwa ajili ya kuanza ziara ya kiserikali nchini Qatar.
Mke wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mama Awena Sinani Massoud (kushoto), akiwa na viongozi wengine wa SMZ tayari kwa kuanza ziara nchini Qatar.
Waziri wa Nchi, ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej, akibadilishana mawazo na maofisa wa mambo ya nje, tayari kwa kuanza ziara nchini Qatar....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s72-c/mat2.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, SEIF SHARIF HAMAD, ashiriki Uvunaji wa Matikiti
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s1600/mat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-deyPuTV14Ns/VcTLRsJ0TvI/AAAAAAAAAfM/gkgZhSk-QT8/s1600/mat4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UfZF8g3i2Nk/VcTLTRkBhJI/AAAAAAAAAfk/4cagCbvyA44/s640/mat6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-82Kynfooh8k/VcTLTiM2kDI/AAAAAAAAAfw/Hds2ubziE-s/s1600/mat7.jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif awasili Qatar kuanza ziara ya kiserikali
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZcKg3KOrnZ8/VPSjk0CCCoI/AAAAAAAHHMA/aY76mWl0KaI/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akutana na balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZcKg3KOrnZ8/VPSjk0CCCoI/AAAAAAAHHMA/aY76mWl0KaI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X1dlYh6fvTU/VPSjlaVPKJI/AAAAAAAHHMI/HguN46jdUfg/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GVy0aqKc92c/VPSjmSigi2I/AAAAAAAHHMQ/vCIJPurYkyA/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
10 years ago
Habarileo11 Feb
Maalim Seif awasili Qatar ziara ya siku 4
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewasili Doha nchini hapa kwa ziara rasmi ya kiserikali.
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Rais Kikwete aondoka nchini kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete yuko njiani kwenda India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee. Ziara hiyo, inaanza rasmi jioni ya Jumatano, Juni 17, 2015.
Wakati wa ziara yake, Rais Kikwete ambaye anafuatana na Mama Salma Kikwete, mbali na kukutana na Rais Mukherjee kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_BFVavjk_84/Vdn0mHgolKI/AAAAAAAAYIE/qzPQCUjPlIU/s72-c/MMGL1355.jpg)
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-_BFVavjk_84/Vdn0mHgolKI/AAAAAAAAYIE/qzPQCUjPlIU/s640/MMGL1355.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PEHTXMA_vyI/Vdn0mponBbI/AAAAAAAAYII/GvesfgUN41o/s640/MMGL1349.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad leo amerejesha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dv9J0lhRyGQ/VWtA_6HmImI/AAAAAAAHbBI/JceycW54RSs/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Nov
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini awasili nchini kwa ziara ya siku moja
9 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR