MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAMWA
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AWATEMBELEA WAGONJWA NA WAFIWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
10 years ago
MichuziMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8PWvbcqSl8M/Vd7Ib4VrznI/AAAAAAAH0Vo/zoF4E1scr1w/s72-c/akielezwa%2Bno%2B2.jpg)
MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO CHA WALIOADHIRIKA NA DAWA ZA KULEVYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8PWvbcqSl8M/Vd7Ib4VrznI/AAAAAAAH0Vo/zoF4E1scr1w/s640/akielezwa%2Bno%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gvRDu8x09sE/Vd7Ib3_e3lI/AAAAAAAH0Vs/Otxt3dKvZ0c/s640/akielezwa.jpg)
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesifu maendeleo mazuri ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha kuwarekebisha kitabia watu walioingia katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s72-c/mat2.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, SEIF SHARIF HAMAD, ashiriki Uvunaji wa Matikiti
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s1600/mat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-deyPuTV14Ns/VcTLRsJ0TvI/AAAAAAAAAfM/gkgZhSk-QT8/s1600/mat4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UfZF8g3i2Nk/VcTLTRkBhJI/AAAAAAAAAfk/4cagCbvyA44/s640/mat6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-82Kynfooh8k/VcTLTiM2kDI/AAAAAAAAAfw/Hds2ubziE-s/s1600/mat7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AZKKtQUwhFk/VaSpLlZQn7I/AAAAAAABCec/ivhiSjbWdVU/s72-c/693.jpg)
MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWASIHI WAUMINI WA KIISLAMU KUFUTURU PAMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AZKKtQUwhFk/VaSpLlZQn7I/AAAAAAABCec/ivhiSjbWdVU/s640/693.jpg)
Waumini wa Dini ya Kiislamu Nchini wanapaswa kuurejesha tena utamaduni wao wa asili wa kufutari pamoja nje ya Nyumba zao kama walivyokuwa wakifanya wazee wa zamani ili kuongeza upendo baina yao.
Ukumbusho huo umetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya futari ya pamoja iliyotayarishwa na Kampuni ya Vitega Uchumi ya Jamani na kuwashirikisha baadhi ya...
9 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NHC