MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi.jpg)
maalim seif akagua maendeleo ya ujenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa amani karume, zanzibar
Miradi hiyo inahusisha ukarabati na ujenzi wa njia za kupitia ndege wakati wa kuruka pamoja na sehemu ya maegesho ya ndege, ujenzi wa uzio wa eneo la uwanja wa ndege, pamoja na ujenzi wa jingo jipya la abiria (Terminal 2).
Akizungumza katika ziara ya kutembelea miradi hiyo...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAMWA
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AWATEMBELEA WAGONJWA NA WAFIWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
10 years ago
MichuziMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
10 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Seif Iddi afanya ziara Bandari ya Malindi,Zanzibar
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA KILOMITA 12

Kulia ya Balozi Seif ni Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Zanzibar Amber
Resort kwa upande wa Zanzibar Bibi Naila Jidawi.
