maalim seif akagua maendeleo ya ujenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa amani karume, zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-cB-g7mAaV5c/UzQisHfLk_I/AAAAAAAFWyQ/qhHYGXelGEc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea kuridhishwa kwake na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa miradi mitatu inayoendelea kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Miradi hiyo inahusisha ukarabati na ujenzi wa njia za kupitia ndege wakati wa kuruka pamoja na sehemu ya maegesho ya ndege, ujenzi wa uzio wa eneo la uwanja wa ndege, pamoja na ujenzi wa jingo jipya la abiria (Terminal 2).
Akizungumza katika ziara ya kutembelea miradi hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s72-c/IMG_0079.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s1600/IMG_0079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lscueZO_-Tk/VSbG8gH_bmI/AAAAAAAHP7s/ROCF1xo3uCU/s1600/IMG_0194.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s72-c/unnamed.jpg)
PBZ WAKABIDHI MABASI YA ABIRIA KWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FQEqmD6IPFA/VKf4wqltz_I/AAAAAAAG7C0/YycsQ2HX8eA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
11 years ago
Habarileo29 Mar
Maalim Seif aridhishwa na ujenzi uwanja wa ndege
MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ameeleza kuridhishwa na kazi za ujenzi wa miradi mitatu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amaan Karume uliopo Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qE_R-iFk64I/VXrP6pl7hrI/AAAAAAAA_tc/kJUGwW1AL6o/s72-c/010.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA MAENDELEO YA AWALI YA UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG
![](http://3.bp.blogspot.com/-qE_R-iFk64I/VXrP6pl7hrI/AAAAAAAA_tc/kJUGwW1AL6o/s640/010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1oyALZ4VnBc/VXrP7JDIH1I/AAAAAAAA_tg/IUImqhn79l4/s640/012.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LPH21Ysg4vQ/VXrP7fwrt-I/AAAAAAAA_to/QX93p4Rcb88/s640/014.jpg)
10 years ago
VijimamboNDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGEweiuQM7s/VBmOui5po4I/AAAAAAAGkGM/ofrVsJPBgSg/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
WAZIRI WA HABARI NA UTALII WA ZANZIBAR AFANYA KATIKA UWANJA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID KARUME
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo,Zanzibar,Mh. Saidi Ali Mbarouk amezitaka Taasisi zinazosimamia kupokea Watalii Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Amani Abeid Karume kujenga mashirikiano ili kuondosha usumbufu kwa wageni wanaoingia na kuotoka nchini. Ameyasema hayo alipofanya ziara Uwanjani hapo kwa lengo la kuangalia hali halisi ya Wageni wanaoingia na kutoka nchini.
Waziri Mbarouk amesema suala la Mashirikiano kwa wageni ni jambo muhimu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)