NDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo' Zanzi News
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s72-c/IMG_0079.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s1600/IMG_0079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lscueZO_-Tk/VSbG8gH_bmI/AAAAAAAHP7s/ROCF1xo3uCU/s1600/IMG_0194.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGEweiuQM7s/VBmOui5po4I/AAAAAAAGkGM/ofrVsJPBgSg/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
WAZIRI WA HABARI NA UTALII WA ZANZIBAR AFANYA KATIKA UWANJA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID KARUME
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo,Zanzibar,Mh. Saidi Ali Mbarouk amezitaka Taasisi zinazosimamia kupokea Watalii Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Amani Abeid Karume kujenga mashirikiano ili kuondosha usumbufu kwa wageni wanaoingia na kuotoka nchini. Ameyasema hayo alipofanya ziara Uwanjani hapo kwa lengo la kuangalia hali halisi ya Wageni wanaoingia na kutoka nchini.
Waziri Mbarouk amesema suala la Mashirikiano kwa wageni ni jambo muhimu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s72-c/unnamed.jpg)
PBZ WAKABIDHI MABASI YA ABIRIA KWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FQEqmD6IPFA/VKf4wqltz_I/AAAAAAAG7C0/YycsQ2HX8eA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ATEMBELEA KABURI LA HAYATI ABEID AMAN KARUME MJINI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s640/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cB-g7mAaV5c/UzQisHfLk_I/AAAAAAAFWyQ/qhHYGXelGEc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
maalim seif akagua maendeleo ya ujenzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa amani karume, zanzibar
Miradi hiyo inahusisha ukarabati na ujenzi wa njia za kupitia ndege wakati wa kuruka pamoja na sehemu ya maegesho ya ndege, ujenzi wa uzio wa eneo la uwanja wa ndege, pamoja na ujenzi wa jingo jipya la abiria (Terminal 2).
Akizungumza katika ziara ya kutembelea miradi hiyo...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...