MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWASIHI WAUMINI WA KIISLAMU KUFUTURU PAMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AZKKtQUwhFk/VaSpLlZQn7I/AAAAAAABCec/ivhiSjbWdVU/s72-c/693.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. ( Picha na maktaba ) Picha na – OMPR – ZNZ.
Waumini wa Dini ya Kiislamu Nchini wanapaswa kuurejesha tena utamaduni wao wa asili wa kufutari pamoja nje ya Nyumba zao kama walivyokuwa wakifanya wazee wa zamani ili kuongeza upendo baina yao.
Ukumbusho huo umetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya futari ya pamoja iliyotayarishwa na Kampuni ya Vitega Uchumi ya Jamani na kuwashirikisha baadhi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nuV9SbdKiE/VmlorIz03FI/AAAAAAABqQ0/DFgD6fOieeA/s640/IMG_9802.jpg)
Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z0emXn-nKP8/VmloqRi39GI/AAAAAAABqQs/DyEiHs_q1pc/s640/IMG_9805.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oT66RidQow/VmlorIgM87I/AAAAAAABqQw/TcMtR1tGsmc/s640/IMG_9808.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ey1aJLw5_tk/VmlovowkR_I/AAAAAAABqRE/vcjf3f24OLg/s640/IMG_9812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-arNSaVzHaek/Vmlo1OkrwsI/AAAAAAABqRU/tNe2AoFEegc/s640/IMG_9818.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s72-c/mat2.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, SEIF SHARIF HAMAD, ashiriki Uvunaji wa Matikiti
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s1600/mat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-deyPuTV14Ns/VcTLRsJ0TvI/AAAAAAAAAfM/gkgZhSk-QT8/s1600/mat4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UfZF8g3i2Nk/VcTLTRkBhJI/AAAAAAAAAfk/4cagCbvyA44/s640/mat6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-82Kynfooh8k/VcTLTiM2kDI/AAAAAAAAAfw/Hds2ubziE-s/s1600/mat7.jpg)
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAMWA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s72-c/unnamed+(15).jpg)
balozi wa Tanzania nchini Sweeden aagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riZMsEEHAKM/U3zLHduo-GI/AAAAAAAFkPk/6KApaze5q98/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AWATEMBELEA WAGONJWA NA WAFIWA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aungana na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Eid El-Haji Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim iliyoswaliwa katika Msikiti wa Istiqaama, jijini Dar es Salaam, jana. Wa pili (kulia) ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya kushiriki swala ya Sikukuu ya Eid El- Hajim...