Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

 Mkuu wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita Amani Mwinyigoha akisoma taarifa ya wilaya ya mbogwe kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo . Baadhi ya watumishi wa Halimashauri ya mbogwe wakisikiliza hotuba ya mkuu wa mkoa wa geita Fatuma mwassa wakati wa kukangua na kuangalia maendeleo ya wilaya yake ambayo ipo katika mkoa wake. Mwenye sharti la dalfti muandisi wa maji Daud Amlima akitoa maelenzo juu ya mradi wa maji katika kijiji cha sheda wilayani mbogwe mkoani geita ambapo alifanya ziara ya siku...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita

????????????????????????????????????

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akimsikiliza kwa makini, Diwani wa Nyakafulwa, Mathias Nyororo, aliyekuwa akifafanua kutoanza kwa mradi wa maji kijiji cha Masumwe, licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa fedha za mradi huo kiasi cha milioni 200,miezi sita iliyopita.Ufafanuzi huo ulitokana na baada ya wananchi kulalamika kutopata maji katika kijiji hicho katika mkutano wa hadhara ambao Kinana aliufanya katika kata ya Masumbwe,  utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya...

 

5 years ago

Michuzi

KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA WILAYANI MBOGWE, GEITA, JANA JUNI 17, 2015

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Kata ya Masumbwe, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, jana, Juni 17, 2015. (Picha na Bashir Nkoromo)Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Abdylrahman Kinana uliofanyika katika kata ya Masumbwe, wilayani Mbogwe mkoani Geita, jana Juni 17, 2015.Wananchi wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii

1

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.

2

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII

 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akimkabidhi Katibu Mkuu mpya, Meja Jenerali Projest Rwegasira, moja ya Nyaraka za Ofisi za Wizara hiyo kama ishara ya kumkabidhi ofisi.

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa katika mkutano wa kumuaga aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, na kuwakaribisha Katibu Mkuu mpya, Meja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kairuki: Tuache kufanya kazi kwa mazoea

Sheria 1

Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akijaribu baiskeli ya mazoezi aliyokabiodhiwa kama zawadi katika hafla ya kuwapongeza watumishi wa Wizara waliostaafu iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi.

Na Mwandishi Wetu

Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakumbushwa kuwa chachu ya mabadiliko katika utumishi wa umma na kuondokana na utendaji...

 

10 years ago

Michuzi

Tuache kufanya kazi kwa mazoea - Kairuki

Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde akijaribu baiskeli ya mazoezi aliyokabiodhiwa kama zawadi katika hafla ya kuwapongeza watumishi wa Wizara waliostaafu iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akimkabidhi zawadi Mtunza Kumbukumbu Mstaafu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi....

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani