KINANA WILAYANI MBOGWE, GEITA, JANA JUNI 17, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-lYdTioLCSds/VYKJYGgs-AI/AAAAAAADsKQ/h6o5ARjZo44/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Kata ya Masumbwe, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, jana, Juni 17, 2015. (Picha na Bashir Nkoromo)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Abdylrahman Kinana uliofanyika katika kata ya Masumbwe, wilayani Mbogwe mkoani Geita, jana Juni 17, 2015.
Wananchi wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ea427OgprSg/VYJE_R8L_lI/AAAAAAAHgyg/C9qQ-BCHFK8/s640/16.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SlVmyM9JpjY/VXXRfymLxtI/AAAAAAAAdiY/ovvBHwIGXqg/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MULEBA, JANA JUNI 8, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-SlVmyM9JpjY/VXXRfymLxtI/AAAAAAAAdiY/ovvBHwIGXqg/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aVsNx-9M6K0/VXXU_FggchI/AAAAAAAAdjY/SAyx0sTtAOI/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hGZGAGv_VBs/VXXV_qrko3I/AAAAAAAAdjg/Vez2F7wJoxs/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sGkgM0NnVJU/VXXWyL-1l4I/AAAAAAAAdjo/30aCDM7xrqk/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EkqG6TiQ2U/VXXXXFknNEI/AAAAAAAAdjw/I9FNQnPXl6Q/s640/8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pHKG6x1lkTk/VXszFP_Ca_I/AAAAAAAAu6U/y-xpJbE-QPY/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA JIMBO LA KYERWA JANA, JUNI 12,2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHKG6x1lkTk/VXszFP_Ca_I/AAAAAAAAu6U/y-xpJbE-QPY/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FUnGv_nTVTA/VXszJ2CpqXI/AAAAAAAAu6c/orSEbNIA5BI/s640/2.jpg)
10 years ago
VijimamboZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
9 years ago
StarTV31 Dec
Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu Â
Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.
Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.
Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.
Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)