Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIARA YA KINANA MULEBA, JANA JUNI 8, 2015

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kata ya Izigo, jimbo la Muleba ya Kaskazinimoani Kagera. Wakazi wa Izigo wakiinua ikono juu kama ishara ya kuafiki hoja za Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambaye amemaliza ziara yake kwenye jimbo la Muleba Kaskazini.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Izigo ambapo aliwaambia kuwa mwaka huu CCM itashinda vizuri kutokana na sera zake nzuri na zinazotekelezeka.

 Mbunge wa Jimbo la Muleba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA KINANA JIMBO LA KYERWA JANA, JUNI 12,2015

Wananchi wakimsalimia kwa shauku, Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, alipowasili Uwanja wa michezo, kuhutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Kibingo, Kata ya Kaisho, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera, leo. (pICHA ZTE NA BASHIR nKOROMO)Katibu wa EC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwapungia mkono, wananchi waliofurika kwenye Viwanja vya michezo, katika Kijiji cha Kibingo, Kata ya Kaisho, baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA WILAYANI MBOGWE, GEITA, JANA JUNI 17, 2015

  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Kata ya Masumbwe, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, jana, Juni 17, 2015. (Picha na Bashir Nkoromo)Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Abdylrahman Kinana uliofanyika katika kata ya Masumbwe, wilayani Mbogwe mkoani Geita, jana Juni 17, 2015.Wananchi wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA KINANA MULEBA

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Muleba Kusini, Anna Tibaijuka, baada ya kuwasili Kijiji cha Kyamkwikwi, wilayani Muleba mkoani Kagera leo, kabla ya kupanda boti kwenda Kisiwa cha Bumbile wilayani Muleba, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Kagera, jana, Juni 7, 2015.  Katibu wa NEC, Itikasi na Uenezi Nape Nnauye akimsalimia Mbunge wa Mleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, baada ya yeye na Katibu Mkuu wa CCM,...

 

10 years ago

GPL

ZIARA YA KINANA WILAYANI MULEBA‏

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Muleba Kusini, Prof. Anna Tibaijuka, baada ya kuwasili  Kijiji cha Kyamkwikwi, wilayani Muleba mkoani Kagera leo, kabla ya kupanda boti kwenda Kisiwa cha Bumbile wilayani Muleba, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Kagera, jana, Juni 7, 2015.
Katibu wa NEC, Itikasi na Uenezi Nape Nnauye akimsalimia Mbunge wa Mleba...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIRA YAKE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini.Prof Anna Tibaijuka pamoja na mkuu wa mkoa wa Kagera,John Mongella wakishiriki katika kazi ya utandazaji wa umeme wa REA katika shule ya sekondari ya Nyakatanga,jimbo la Muleba Kaskazini mkoani Kagera wakati wa ziara ya Kuimarisha uhai wa chama,kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2010 pamoja kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi Umeme wa REA umesambazwa kwa kasi katika jimbo la Muleba...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE ATEMBELEA VISIWA VINNE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA

 Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana,  akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Mpira, mjini Muleba mkoani Kagera.Ndugu Kinana yuko katika ziara ya siku kumi mkoani Kagera ya kuimarisha na kukagua utekelezwaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2010,ikiwemo pia kusikiliza matatizo ya wananchi na kuyatafutia ufumbuzi.Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia wananchi katika  mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana...

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA RUANGWA JUNI 24

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpa pole, Ramadhani Hamadi mkazi wa Dar es Salaam aliyelazwa katika Zahanati ya Nandagala wilayani Ruangwa  wakati alipotembelea Zahanati hiyo, Juni 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi gari la kubeba wagonjwa, Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hashim Mgandilwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Luchelegwa  wilayani humo, Juni 24, 2020. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa katika ziara ya kikazi wilayani humo. (Picha na...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Stendi Kuu ya Zamani mjini Tabora, baada ya kumaliza ziara yake ya siku 11 katika mkoa huo, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata  Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi Wakazi wa Mji wa Tabora Mjini  wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANA KESHO MEI 21, 2015 HADI JUNI 18, 2015


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuzindua rasmi uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa (Biometric Voters Registration BVR) mkoani Kagera katika Manispaa ya Bukoba kesho tarehe 21/05/2015 kuanzia asubuhi saa mbili. Zoezi la uzinduzi litaongozwa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Mhe. John Mongella katika mtaa wa Pwani eneo la uwanja wa ndege wa Bukoba kata ya Miembeni Manispaa ya Bukoba. Uzinduzi huo utafanyika katika Halmashauri zote za wilaya siku hiyo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani