ZIARA YA KINANA MULEBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Te1Ug5AOEgA/VXWOTkgIovI/AAAAAAADqYQ/sVcMHHPifis/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Muleba Kusini, Anna Tibaijuka, baada ya kuwasili Kijiji cha Kyamkwikwi, wilayani Muleba mkoani Kagera leo, kabla ya kupanda boti kwenda Kisiwa cha Bumbile wilayani Muleba, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Kagera, jana, Juni 7, 2015.
Katibu wa NEC, Itikasi na Uenezi Nape Nnauye akimsalimia Mbunge wa Mleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, baada ya yeye na Katibu Mkuu wa CCM,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23If7Ak*YUDcrUW-Y*rrJPv16mYWuY*xOXYcg-zGuCqhpfisZXYcSCTKMmE1Tayzrdq4YBBKFGES-IK2RA8i7Tf/1.jpg?width=650)
ZIARA YA KINANA WILAYANI MULEBA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SlVmyM9JpjY/VXXRfymLxtI/AAAAAAAAdiY/ovvBHwIGXqg/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MULEBA, JANA JUNI 8, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-SlVmyM9JpjY/VXXRfymLxtI/AAAAAAAAdiY/ovvBHwIGXqg/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aVsNx-9M6K0/VXXU_FggchI/AAAAAAAAdjY/SAyx0sTtAOI/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hGZGAGv_VBs/VXXV_qrko3I/AAAAAAAAdjg/Vez2F7wJoxs/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sGkgM0NnVJU/VXXWyL-1l4I/AAAAAAAAdjo/30aCDM7xrqk/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EkqG6TiQ2U/VXXXXFknNEI/AAAAAAAAdjw/I9FNQnPXl6Q/s640/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pt69k1KaQa4/VXYEo8cbQlI/AAAAAAAC55c/OEp98N9fvH0/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIRA YAKE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pt69k1KaQa4/VXYEo8cbQlI/AAAAAAAC55c/OEp98N9fvH0/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U_bDZEfpI78/VXYEuPQ6f5I/AAAAAAAC55k/92BBOM2-MWY/s640/11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yTkC3qjQOW4/VXSD43lUXTI/AAAAAAAHc3c/LV7eR6Zn2Ls/s72-c/_MG_7266.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE ATEMBELEA VISIWA VINNE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTkC3qjQOW4/VXSD43lUXTI/AAAAAAAHc3c/LV7eR6Zn2Ls/s640/_MG_7266.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V7Lxn0Wj2Hk/VXSCOlzeIuI/AAAAAAAHczQ/gcRYCm-yxFU/s640/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wi5ui1N9Kjc/U3kRHiAciUI/AAAAAAAChjA/uD6dNZhqm3I/s1600/18.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Ziara ya Kinana Ukerewe
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Ziara za Kinana zaipaisha CCM
NA MOHAMMED ISSA, MERERANI
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, imeleta mafanikio na matumaini mapya kwa wananchi na kuipaisha CCM.
Kinana ambaye alifanya ziara katika mikoa ya Tabora, Singida na Manyara, ameongeza kasi ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama ya mwaka 2010-2015.
Akizungumza jana mjini hapa, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema ziara ya Kinana ilikuwa ya mafanikio makubwa na kwamba ameacha neema kila...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-SVYOVx1lEpc/VB2n7FuDufI/AAAAAAAABr4/tOoQdI_HFBI/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MKOANI PWANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SVYOVx1lEpc/VB2n7FuDufI/AAAAAAAABr4/tOoQdI_HFBI/s1600/1.jpg)