Ziara za Kinana zaipaisha CCM
NA MOHAMMED ISSA, MERERANI
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, imeleta mafanikio na matumaini mapya kwa wananchi na kuipaisha CCM.
Kinana ambaye alifanya ziara katika mikoa ya Tabora, Singida na Manyara, ameongeza kasi ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama ya mwaka 2010-2015.
Akizungumza jana mjini hapa, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema ziara ya Kinana ilikuwa ya mafanikio makubwa na kwamba ameacha neema kila...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Ziara ya Kinana Zanzibar yairejeshea CCM uhai
11 years ago
Vijimambo
SIKU YA 29 YA ZIARA YA KINANA WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM





10 years ago
Uhuru Newspaper
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM Arusha - Komrade Abdulrahman Kinana

Kaika Ole Telele (kulia) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole.



10 years ago
Vijimambo
ZIARA YA KINANA YADHIHIRISHA CCM BADO IPO IMARA MIKOA YA KUSINI
ZIARA YA KINANA MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAINGIZA WANACHAMA ZAIDI YA 40,000 CCM MKUTANO WA HADHARA MTWARA MJINI


10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA ROMBO



11 years ago
GPL
ABDULRAHMAN KINANA KATIBU MKUU WA CCM AENDELEA NA ZIARA RUFIJI
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE LEO






10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOA WA KILIMANJARO

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amewasili katika jimbo la Siha, katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo katika jimbo la Siha imetekelezwa kwa asilimia kubwa ikisimamiwa na Mbunge wa jimbo hilo na Naibu Waziri wa...
10 years ago
GPL
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI RUANGWA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10