KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Stendi Kuu ya Zamani mjini Tabora, baada ya kumaliza ziara yake ya siku 11 katika mkoa huo, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi
Wakazi wa Mji wa Tabora Mjini wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 May
Kinana amaliza ziara Tabora kwa kishindo, maelfu wahudhuria mkutano wake wa hadhara
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara aliofanya jana jioni kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani mjini Tabora. Kinana amemaliza ziara yake ya siku 11 ,Mei 18, 2014.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa Tabora mjini.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, bunge wa Bunda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Steven Wassira akihutubia kwenye mkutano huo ambapo pamoja na mambo mengine,...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI NZEGA LEO,KESHO NDANI YA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s72-c/14.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI UYUI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s1600/14.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFn7Q5vllqVdgnCy7du8XCxjso7prDfOtaiOwL9bIG46Ezt5URu799d4m0xXDTxl*qouY5dgI10FymR9oUvAktK/unnamed43.jpg?width=650)
MHE. JAJI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI TABORA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s72-c/72.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIHISTORIA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s1600/72.jpg)
Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake ya ya siku 10 ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika mkoa wa Kagera kwa mafanikio makubwa.
Katika ziara hiyo Kinana amemaliza ziara hiyo leo Julai 14, 2015, baada ya kutembea jumla ya kilometa 3374, akiwa ametembelea majimbo yote tisa katika wilaya zote nane za mkoa huo.
Ziara hiyo imeonyesha kuwa...
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s72-c/17.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI ARUSHA,AVUNA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 4000
![](http://3.bp.blogspot.com/-C9MwL_NPK-4/VQ2KfbA34aI/AAAAAAAC2EU/qYkpsD_1qG0/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cfeWd2iFGTk/VQ2Kei_40NI/AAAAAAAC2EQ/5SQpubwJQFQ/s1600/16.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s1600/15.jpg)
10 years ago
Vijimambokinana-ahitimisha-ziara-yake-kwa.html