Ziara ya Kinana Ukerewe
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
kinana wilayani ukerewe
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EreGHRFRKE0/VZNnRBQynrI/AAAAAAAAgWI/JBeBw1fqx0Y/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-99M6Y2gLXts/VZNp53LW5ZI/AAAAAAAAgXA/e130VDKEJhU/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s72-c/unnamed.jpg)
MAKALA YA MDAU KUTOKA UKEREWE-KINANA AMENIKUMBUSHA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s400/unnamed.jpg)
MWAKA 1995 kulikuwa na vuguvugu la vyama ya siasa kurithi kiti cha Rais wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi, hasa ikizingatiwa ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoshika dola pamoja na vyama vya upinzani kama NCCR-Mageuzi ya Augustino Lyatonga Mrema na Chama cha Wananchi (CUF), ni nani mwenye sifa ya kuongoza Tanzania.
Mambo yalikuwa mengi lakini udini na ukabila vilishika nafasi kubwa,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EreGHRFRKE0/VZNnRBQynrI/AAAAAAAAgWI/JBeBw1fqx0Y/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-99M6Y2gLXts/VZNp53LW5ZI/AAAAAAAAgXA/e130VDKEJhU/s640/5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wi5ui1N9Kjc/U3kRHiAciUI/AAAAAAAChjA/uD6dNZhqm3I/s1600/18.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Te1Ug5AOEgA/VXWOTkgIovI/AAAAAAADqYQ/sVcMHHPifis/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MULEBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Te1Ug5AOEgA/VXWOTkgIovI/AAAAAAADqYQ/sVcMHHPifis/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r61su-aGVZs/VXWOVg0kSWI/AAAAAAADqYw/v4E42mvpBYQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
10 years ago
GPLZIARA YA KINANA LUSHOTO
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kinana aanza rasmi ziara
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenye basi kuwasalimia wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa wa Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w7x4ONy4scs/VW_9dFVlFvI/AAAAAAAAc70/q_9ACV8Dg4k/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BEnECaPbcwg/VW_9hc3QDoI/AAAAAAAAc78/_PZMcsNFHLg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa mkoa wa Morogoro waliojitokeza kuwasalimu wakati wa safari ya kuelekea Kagera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-A0ptPvhdD-0/VW_9i-lPGnI/AAAAAAAAc8I/J0cFu6tRR9o/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi waliojitokeza kwenye kituo cha mabasi mjini Morogoro maarufu kama Msamvu ambapo aliwaambia...