MAKALA YA MDAU KUTOKA UKEREWE-KINANA AMENIKUMBUSHA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s72-c/unnamed.jpg)
NA HAFIDH KIDO, Ukerewe
MWAKA 1995 kulikuwa na vuguvugu la vyama ya siasa kurithi kiti cha Rais wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi, hasa ikizingatiwa ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoshika dola pamoja na vyama vya upinzani kama NCCR-Mageuzi ya Augustino Lyatonga Mrema na Chama cha Wananchi (CUF), ni nani mwenye sifa ya kuongoza Tanzania.
Mambo yalikuwa mengi lakini udini na ukabila vilishika nafasi kubwa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GAEpisZ3Cuk/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bQuy-njrnKo/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Siku ya Mwalimu Nyerere, Fikra Kutoka Kavazini
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aU0q8cv1pdI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4VsWZIs0BQg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Ziara ya Kinana Ukerewe
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
kinana wilayani ukerewe
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EreGHRFRKE0/VZNnRBQynrI/AAAAAAAAgWI/JBeBw1fqx0Y/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-99M6Y2gLXts/VZNp53LW5ZI/AAAAAAAAgXA/e130VDKEJhU/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NUgZErQtpiU/VTyEYLBj3mI/AAAAAAAHTVc/lIjoSjJNRS4/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
mbowe katika mkutano wa hadhara mjini nansio, ukerewe, Mwalimu na Nassari makambako
![](http://1.bp.blogspot.com/-NUgZErQtpiU/VTyEYLBj3mI/AAAAAAAHTVc/lIjoSjJNRS4/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe Freeman Mbowe, akihutubia maelfu ya wakazi wa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Mongella mjini Nansio Ukerewe jana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-qS6tjav2dy8/VTyFFVhD5XI/AAAAAAAHTVs/4hapx-AuM3s/s1600/unnamed%2B(27).jpg)