Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba ya Mwalimu Nyerere, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma - 1995

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere enzi za uhai wake. HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA. TUMETOKA WAPI, TUKO WAPI, TUNAKWENDA WAPI NA TUFANYE NINI ILI TUFIKE TUNAKOTAKA! Hotuba ya Mwalimu Julius K. Nyerere aliyoitoa wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mbeya Mei 1, 1995. Mwalimu Nyerere alialikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO za hotuba mbalimbali kwenye mkutano mkuu wa CCM

IMGL0622

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Conveition Centre), uliopo Mjini Dodoma.

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM Zanzibar 2015

Hotuba Ya Dr Asha – Rose Migiro kukubali yatokeo ya mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali kukubali matokeo ya mkutano mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Dr John Pombe Magufuli...

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI MKUU KASSIM MALIWA WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JIJINI DODOMA LEO.


HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA KUMI NA TISA WA BUNGE

1.           MheshimiwaSpika, naomba nitumie fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutujaalia afya njema na kutuwezesha kufika siku hii ya leo ambayo naiita kuwa ni siku ya kihistoria kwetu.
2.           Nasema kuwa ni ya kihistoria kwa sababu Bunge lako Tukufu linahitimisha shughuli za Bunge la Kumi na Moja (11) la...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Dk. Asha-Rose Migiro akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Balozi Amina Salum Ali akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Balozi Amina alishika nafasi ya pili katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na mbele ya Dr Asha-Rose Migiro

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Mwenyekiti Wa CCM Taifa Mhe. Jakaya Kikwete kufunga Mkutano Mkuu wa chama 2015

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Mwenyekiti wa CCM Taifa akifunga mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika Dodoma.
Ni katika mkutano huu ambapo chama hicho kilimchagua Dr John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
Hii inakuwa mara ya mwisho kwa Mhe Kikwete kuwahutubia wajumbe wa mkutano huo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani