Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba kamili ya Mwalimu Nyerere katika Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere enzi za uhai wake. HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA. TUMETOKA WAPI, TUKO WAPI, TUNAKWENDA WAPI NA TUFANYE NINI ILI TUFIKE TUNAKOTAKA! Hotuba ya Mwalimu Julius K. Nyerere aliyoitoa wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mbeya Mei 1, 1995. Mwalimu Nyerere alialikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA KUIMARISHA ULINZI KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ACP David Misime ---JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI    JESHI LA POLISI TANZANIA Nina imani kila mmoja anayo taarifa kuwa wiki hii hapa Dodoma kutakuwa na Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi.  Mkutano huo utajumuisha Viongozi wa Kitaifa na Wajumbe wengi.  Kutokana na unyeti wa mkutano huo mawazo na masikio ya watu wengi wa ndani na nje ya Tanzania watayaelekeza katika Mkoa wetu kutaka...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azindua mkutano Mkuu wa 32 wa mwaka wa TPHA

DSC_2704

Picha ya pamoja ya baadhi ya washiriki wa mkutano Mkuu wa 32, wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) muda mfupi baaada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi Chiku Gallawa (katikati) waliokaa mbele. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale,Modewjiblog

[DODOMA] Mkutano wa 32 wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA) umezinduliwa rasmi leo  Novemba 30.2015 mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Chiku Gallawa...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO za hotuba mbalimbali kwenye mkutano mkuu wa CCM

IMGL0622

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Conveition Centre), uliopo Mjini Dodoma.

Hotuba Ya Dr Ali Mohamed Shein kukubali kuwa mgombea wa CCM Zanzibar 2015

Hotuba Ya Dr Asha – Rose Migiro kukubali yatokeo ya mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali kukubali matokeo ya mkutano mkuu wa CCM 2015

Hotuba Ya Dr John Pombe Magufuli...

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI MKUU KASSIM MALIWA WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JIJINI DODOMA LEO.


HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA KUMI NA TISA WA BUNGE

1.           MheshimiwaSpika, naomba nitumie fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kutujaalia afya njema na kutuwezesha kufika siku hii ya leo ambayo naiita kuwa ni siku ya kihistoria kwetu.
2.           Nasema kuwa ni ya kihistoria kwa sababu Bunge lako Tukufu linahitimisha shughuli za Bunge la Kumi na Moja (11) la...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Dk. Asha-Rose Migiro akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani