Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOTUBA YA MWL. JULIUS K. NYERERE - MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA MWAKA 1995

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Katibu wa Hamasa M Dar afungua Mkutano Mkuu wa tawi la Mwl.Nyerere.

Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi (M) Dar es salaam Ndg.Ally Ummy amefungua Mkutano wa tawi la Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwl.Nyerere kilichopo Kigamboni Jijini Dar es salaam.

 Ndg.Ummy ametumia fursa hiyo kuwataka vijana kuwa wamoja na kuacha marumbano yasiyo na msingi ndani ya Chama na kutumia nguvu kubwa kutafakari na kupanga mikakati ya namna ya kuongeza kura za Chama Cha Mapinduzi,

Aidha amesisitiza vijana kuwa wainjilisti wa kuhubiri kazi nzuri na njema iliyofanywa na inayoendelea...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

AllAfrica.Com

Let MWL Julius Nyerere's Path to Sainthood Be Smooth


Let MWL Julius Nyerere's Path to Sainthood Be Smooth
AllAfrica.com
IF there was an institution to abhor the founding father of Tanzania, the late Mwalimu Julius Nyerere, it would have been the Catholic Church. Yet it is the same establishment that opened the case for his beautification in 2005 towards canonization, six years ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nini hasa ni kivutio katika mji aliozaliwa hayati Mwl. Julius K Nyerere?

nyerere 1

Butiama ni mji uliopo kaskazini mwa Tanzania, katika wilaya ya Musoma mkoa wa Mara.  Mahala hapa ndipo alipozaliwa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere(Baba wa Taifa), ambapo leo ni siku ya kukumbuku ya kifo chake (13 April 1922-14 Octoba 1999)

Kijiji hiki kina historia Kubwa ambapo leo imekuwa siku muhimu ya kukumbuka mahala alipozaliwa shujaa wa Tanzania aliyepelekea uhuru na umoja wa nchi yetu.

Ndani ya kijiji cha Butiama kuna vingi...

 

9 years ago

GPL

HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere enzi za uhai wake. HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA. TUMETOKA WAPI, TUKO WAPI, TUNAKWENDA WAPI NA TUFANYE NINI ILI TUFIKE TUNAKOTAKA! Hotuba ya Mwalimu Julius K. Nyerere aliyoitoa wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mbeya Mei 1, 1995. Mwalimu Nyerere alialikwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika...

 

5 years ago

CCM Blog

HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020







•           Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,•           Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,•           Mkurugenzi wa Uchaguzi,•           Msajili wa Vyama vya Siasa,•           Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,•           Viongozi wa Vyama vya Siasa,•           Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,•           Inspekta Jenerali wa Polisi,•           Kamishna Mkuu wa Uhamiaji•           Watendaji wa Tume,•           Waandishi wa Habari,•           Mabibi na Mabwana
Bwana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani