Katibu wa Hamasa M Dar afungua Mkutano Mkuu wa tawi la Mwl.Nyerere.
![](https://1.bp.blogspot.com/-WiAcm4si3mc/Xtvkx9N-68I/AAAAAAALs2k/Mo7Q3Z7AZv0fkvt9IxkyB4aGfCaHUQSXgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi (M) Dar es salaam Ndg.Ally Ummy amefungua Mkutano wa tawi la Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwl.Nyerere kilichopo Kigamboni Jijini Dar es salaam.
Ndg.Ummy ametumia fursa hiyo kuwataka vijana kuwa wamoja na kuacha marumbano yasiyo na msingi ndani ya Chama na kutumia nguvu kubwa kutafakari na kupanga mikakati ya namna ya kuongeza kura za Chama Cha Mapinduzi,
Aidha amesisitiza vijana kuwa wainjilisti wa kuhubiri kazi nzuri na njema iliyofanywa na inayoendelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL29 Sep
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUHUSU TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XkCIgAhsVVc/VYP8MZZ-A3I/AAAAAAAHhas/rCmaYDJU0tc/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA RASMI MKUTANO MKUU WA TATU WA TPS SACCOS Ltd LEO, MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu afungua Mkutano wa Kamati ya Ukaguzi ya Nchi za Maziwa Makuu
BOFYA HAPA...
9 years ago
Michuzi26 Nov
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA JESHI LA POLISI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/ab2.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/ab3.jpg)
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU PROFESA OLE GABRIEL AFUNGUA MKUTANO WA VYAMA VYA WAFUGAJI WA KUKU, NGURUWE
Profesa Gabriel ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 7, 2020 wakati wa kufungua mkutano wa wadau mbalimbali wa sekta Mifugo jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Mkutano huo ni vyama vya Wafugaji Kuku Nguruwe pamoja na wadau wa ngozi uliolenga kupokea changamoto za katika Biashara Biashara...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)