KATIBU MKUU PROFESA OLE GABRIEL AFUNGUA MKUTANO WA VYAMA VYA WAFUGAJI WA KUKU, NGURUWE
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo nchini Tanzania, Profesa Elisante Ole Gabriel amesema wanatarajia kuanzisha kliniki za kutoa ushauri wa ufugaji katika kila Halmashauri ili kuongeza thamani ya ngozi inayozalishwa.
Profesa Gabriel ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 7, 2020 wakati wa kufungua mkutano wa wadau mbalimbali wa sekta Mifugo jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Mkutano huo ni vyama vya Wafugaji Kuku Nguruwe pamoja na wadau wa ngozi uliolenga kupokea changamoto za katika Biashara Biashara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe
Mwandishi Wetu Arusha
Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.
Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Katibu Mkuu wa MPLA awasili Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa vyama vya Kisoshalisti
.jpg)
.jpg)
11 years ago
MichuziProfesa Elisante Ole Gabriel mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya Awali ya Sunrise jijini Dar
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA RASMI MKUTANO MKUU WA TATU WA TPS SACCOS Ltd LEO, MKOANI MOROGORO
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA JIJINI DAR LEO



5 years ago
Michuzi
Katibu wa Hamasa M Dar afungua Mkutano Mkuu wa tawi la Mwl.Nyerere.
Ndg.Ummy ametumia fursa hiyo kuwataka vijana kuwa wamoja na kuacha marumbano yasiyo na msingi ndani ya Chama na kutumia nguvu kubwa kutafakari na kupanga mikakati ya namna ya kuongeza kura za Chama Cha Mapinduzi,
Aidha amesisitiza vijana kuwa wainjilisti wa kuhubiri kazi nzuri na njema iliyofanywa na inayoendelea...
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu afungua Mkutano wa Kamati ya Ukaguzi ya Nchi za Maziwa Makuu
BOFYA HAPA...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM