Profesa Elisante Ole Gabriel mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya Awali ya Sunrise jijini Dar
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea zawadi ya maua kutoka kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi na Awali Sunrise ya jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Saba ya wahitimu wa Darasa la Saba jana.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na M,ichezo Profesa Elisante Ole Gabriel akizungumza na wazazi na wanafunzi wakati wa mahafali ya wahitimu wa Darasa la Saba wa Shule ya Msingi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tvt6FU3EFsM/VmGuODAQ41I/AAAAAAAIKPY/lzMgBBnDz3E/s72-c/IMG_8878.jpg)
Prof. Ole Gabriel mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-tvt6FU3EFsM/VmGuODAQ41I/AAAAAAAIKPY/lzMgBBnDz3E/s640/IMG_8878.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrR1T5hNtIg/VmGuN2M851I/AAAAAAAIKPU/KbPNtnedthM/s640/IMG_8865.jpg)
9 years ago
Michuzi14 Sep
ELISANTE OLE GABRIEL AZINDUA FAINALI ZA AIRTEL RISING STAR JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://tff.or.tz/images/ars.png)
9 years ago
MichuziMwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala mgeni rasmi kwenye mahafali ya shule ya awali ya St Andrew’s
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsQ9Ptj8FCE/VHD69_nRE-I/AAAAAAAGy9g/om0E2PkUJv8/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Profesa Mwandosya mgeni rasmi katika Mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT),Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsQ9Ptj8FCE/VHD69_nRE-I/AAAAAAAGy9g/om0E2PkUJv8/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQ8UORNdhIA/VHD6901SwpI/AAAAAAAGy9c/jD74Da3n62w/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s9E56vs2UvA/VHD6-PwnxYI/AAAAAAAGy9k/8Fhk1WUwkFU/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vrmWTvz0sNw/VHD6-asKI_I/AAAAAAAGy-Y/BbIH1kAgclE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jhVUWKEIKu8/VHD6-hNwmmI/AAAAAAAGy9o/LBycFQoaYl8/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mahafali ya tatu ya shule ya awali ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone yafanyika jijini dar
Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkhoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo.
Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia).
10 years ago
VijimamboMAHAFALI YA TATU YA SHULE YA AWALI YA CHEKECHEA YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANYIKA LEO JIJINI DAR