Mahafali ya tatu ya shule ya awali ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone yafanyika jijini dar
Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkhoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo.
Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAHAFALI YA TATU YA SHULE YA AWALI YA CHEKECHEA YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANYIKA LEO JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mahafali ya shule ya awali ya Ojays Kiddies Zone yafana
Watoto wa shule ya Ojays Kiddies Zone iliyopo maeneo ya Kinondoni Block 41, wakiwa kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kwa mahafali ya Kaka na Dada zao wa Laura Class kuanzia miaka 4-5 (T-shrits za kijani) yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Regency Park jijini Dar mwishoni mwa juma.
We are happy to Graduate….! Wanafunzi wa Laura Class wakipata Ukodak.
Mkurugenzi wa Shule yaawali ya Ojays Kiddies Zone iliyopo Kinondoni -Block 41, Bi. Debbie Ndulla akiwakaribisha...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0401.jpg)
MAHAFALI YA SHULE YA AWALI YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s72-c/IMG-20141207-WA0006.jpg)
mahafali ya shule ya sekondari Twayyibat kidato cha nne yafanyika temeke jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s1600/IMG-20141207-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F7-nUks-Px4/VIWIYqgHT7I/AAAAAAACwGM/JnNywPLEdSY/s1600/IMG-20141207-WA0011.jpg)
11 years ago
MichuziProfesa Elisante Ole Gabriel mgeni Rasmi katika mahafali ya Shule ya Awali ya Sunrise jijini Dar
10 years ago
Michuzi29 Nov
MAHAFALI YA CHEKECHEA SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA NA SIKU YA WAZAZI
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mkuu wa shule hiyo pia alitangaza nafasi za masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la tatu wanaotokea kiswahili medium schools na la tano pia wakati...
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA13 YA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBRT KAIRUKI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR.
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde†ya GAPCO yafanyika jijini Dar
Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya “Jaza Mafuta na Ushinde” inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 25 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.
10 years ago
Michuzimahafali ya wanafunzi wa masomo ya awali wa shule Joyland yafana sana