mahafali ya wanafunzi wa masomo ya awali wa shule Joyland yafana sana
Wahitimu wa masomo ya awali shule ya Kimataifa ya Joyland, wakiimba wimbo wa Shule wakati wa mahafali ya pili ya shule hiyo iliyopo Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam
Wanafunzi shule Darasa la nne Shule ya Kimataifa ya Joyland, wakiimba wimbo wa Shule wakati wa mahafali ya pili ya shule hiyo iliyopo Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam
Wahitimu wa masomo ya awali shule ya Kimataifa ya Joyland, wakiimba wimbo wa Shule wakati wa mahafali ya pili ya shule hiyo iliyopo Tuangoma Kigamboni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mahafali ya shule ya awali ya Ojays Kiddies Zone yafana
Watoto wa shule ya Ojays Kiddies Zone iliyopo maeneo ya Kinondoni Block 41, wakiwa kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kwa mahafali ya Kaka na Dada zao wa Laura Class kuanzia miaka 4-5 (T-shrits za kijani) yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Regency Park jijini Dar mwishoni mwa juma.
We are happy to Graduate….! Wanafunzi wa Laura Class wakipata Ukodak.
Mkurugenzi wa Shule yaawali ya Ojays Kiddies Zone iliyopo Kinondoni -Block 41, Bi. Debbie Ndulla akiwakaribisha...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0401.jpg)
MAHAFALI YA SHULE YA AWALI YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANA
10 years ago
Michuzi06 Dec
SHULE YA AWALI YA ABEL MEMORIAL NURSERY AND PRIMARY SCHOOL SASA KUANZA KUTOA ELIMU YA MSINGI MWAKANI, MAHAFALI YAO YAFANA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s72-c/HUNDI.jpg)
Mahafali ya tano ya chuo kikuu cha St. John's mjini Dodoma yafana sana leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s1600/HUNDI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aloSPf7LvDY/VIRZZx-wdiI/AAAAAAAA-n4/tNZhcR6xau8/s1600/WAHITIM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S7ZOH3sdfXc/VIRZbmTb1aI/AAAAAAAA-oA/B6OBbXlA4v4/s1600/WAHTM.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94tGk6KE4gM/VIRZb7nRsLI/AAAAAAAA-oE/xLr6U6BXT3U/s1600/WAHITIMU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hVwjZdXVIqo/VIRZelKPiVI/AAAAAAAA-og/fIBB0YLc_LU/s1600/WAAAANDAISHI.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mahafali ya pili ya shule ya WAMA Nakayama yafana Nyamisati Rufiji
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro (katikati ), akikata utepe akizindua zahanati kwa ajili ya matibabu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati mahafali ya pili yaliyofanyika Octoba 27,2014 (kulia), Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, na kushoto ni Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu.
Wangeni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mahafali ya tatu ya shule ya awali ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone yafanyika jijini dar
Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkhoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo.
Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia).
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA YA SULLIVAN PROVOST YA KIBAHA YAFANA.
9 years ago
MichuziMwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala mgeni rasmi kwenye mahafali ya shule ya awali ya St Andrew’s
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...
10 years ago
VijimamboMAHAFALI YA TATU YA SHULE YA AWALI YA CHEKECHEA YA OJAYS KIDDIES ZONE YAFANYIKA LEO JIJINI DAR