Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe
Mwandishi Wetu Arusha
Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.
Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU PROFESA OLE GABRIEL AFUNGUA MKUTANO WA VYAMA VYA WAFUGAJI WA KUKU, NGURUWE
Profesa Gabriel ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 7, 2020 wakati wa kufungua mkutano wa wadau mbalimbali wa sekta Mifugo jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Mkutano huo ni vyama vya Wafugaji Kuku Nguruwe pamoja na wadau wa ngozi uliolenga kupokea changamoto za katika Biashara Biashara...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
MSIMU WA MAFUA MAKALI MAREKANI
Habari kutoka kituo cha
kudhibiti magojwa nchini Marekani “Center for Disease Control” ( CDC) 2014 -2015, inatufahamisha kuhusu kipindi cha mafua makali ( Severe FLU Season). Kipindi hiki kilichotawaliwa zaidi na virusi vya A H3N2,hujulikana kwa kuleta homa kali, ongezeko la wagojwa mahospitalini na hata vifo. CDC inatukumbushia umuhimu wa kila mmoja kupata Chanjo ya Flu na tiba ya haraka ya kupamba na virusi (Anti-viral drugs treatment) hasa kwa watu walio na kinga hafifu....
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Fanya mazoezi makali uzuie Mafua
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Je,wadudu wanafaa kuwa chakula cha nguruwe na kuku
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
TANGAZO LA CHANJO YA MAFUA MAKALI KUTOKA KAMATIYA AFYA DMV
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
KAMATI YA AFYA DMVINATUKUMBUSHIA KUCHUKUWA TAHADHARI KWA MAFUA MAKALI KWA KUPATA CHANJO YA MAFUA SASA
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Nchi za Afrika zimeaswa kuimarisha mawasiliano katika utoaji wa taarifa zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchi Kenya, Dkt. Custodia Mandlhate akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa siku tatu unaoendelea jijini Nairobi.
Baadhi ya washiriki wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi...
10 years ago
MichuziWAFUGAJI WAPATIWA NA TAWLA ELIMU YA KISHERIA NA USHAURI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P8v6sd3M26k/VFicplXPwJI/AAAAAAAGvY4/hMFlb2PKJcM/s72-c/IMG_6448.jpg)
Zanchick watoa msaada wa chanjo 600,000 kwa wafugaji kuku Zanzibar
Meneja wa Uendeshaji, kutoka Zanchick, Bwana Christopher Kontonasios alisema: “Tunashukuru Wizara ya Ufugaji na Uvuvi kwa kuwa washiriki wakubwa katika ...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Zanchick watoa msaada wa chanjo 600,000 kwa wafugaji kuku Zanzibar
Mkurugenzi wa Kampuni inayojishughulisha na uboreshaji wa kuku Zanzibar(Zanchick) Bw.Issa Khasim Issa akikabidhi chanjo 600,000 zenye thamani ya Tshs 9,000,000 kwa Naibu katibu katika kitengo cha kutoa huduma kwa wanyama kutoka Wizara ya Ufugaji na Uvuvi Zanzibar, Dr.Omar Ali Amir kwa ajili ya kuwalinda kuku na ugonjwa wa Mdondo, anayeshuhudia kulia Mkurugenzi katika kitengo cha kutoa huduma kwa wanyama kutoka Wizara ya Ufugaji na Uvuvi Zanzibar, Dr.Yusuf Hajj Khamis.
Kampuni...