Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA CHANJO YA MAFUA MAKALI KUTOKA KAMATIYA AFYA DMV


KAMATI YA AFYA  DMVINATUKUMBUSHIA KUCHUKUWA  TAHADHARI KWA MAFUA MAKALI KWA KUPATA CHANJO YA MAFUA  SASA Mafua/influenza (Flu) ni ugojwa wa kuambukiza (contagious disease) ambao husambaa hapa marekani wakati wa masika kati ya mwezi wa 5 na mwezi wa 10 .Mafua haya husababishwa na virusi vilivyo katikavya kundi la Influenza1. Influenza A (H1N1), 2. Influenza A (H3N2)3. Influenza B.Maambukizi ya   Ifluenza A & B hupatikana pale unapokuwa karibu na mtu mwenye flu kupitia kukohoa, chafya au...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSIMU WA MAFUA MAKALI MAREKANI


Habari kutoka  kituo cha 
kudhibiti magojwa nchini Marekani  “Center for Disease Control” ( CDC) 2014 -2015, inatufahamisha kuhusu kipindi cha mafua makali ( Severe FLU Season). Kipindi hiki kilichotawaliwa  zaidi na virusi vya A H3N2,hujulikana  kwa kuleta homa kali, ongezeko la  wagojwa mahospitalini na hata vifo. CDC inatukumbushia umuhimu wa kila mmoja kupata Chanjo  ya Flu na  tiba ya haraka ya kupamba na  virusi (Anti-viral drugs  treatment)  hasa kwa watu walio na kinga hafifu....

 

11 years ago

BBCSwahili

Fanya mazoezi makali uzuie Mafua

Kufanya mazoezi makali katika kipindi cha saa mbili unusu kila wiki kunaweza kukuzuia kushikwa na mafua.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe

farm-chicken-412

Mwandishi Wetu Arusha

Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.

Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nchi za Afrika zimeaswa kuimarisha mawasiliano katika utoaji wa taarifa zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali

01.

Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchi Kenya, Dkt. Custodia Mandlhate akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa siku tatu unaoendelea jijini Nairobi.

02

Baadhi ya washiriki wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari kutoka Washington Diaspora Walioletwa na Jumuiya ya Watanzania DMV Watoa Hudua ya Afya Hospitali ya Mnazi Mmoja

Dr Nofali akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka Washington Diaspora walipofika katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kutoa huduma ya Maradhi ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Tiba ya Meno ukiwa na Ujumbe wa Watu 17, Wamefika Ofisi hapo kujitambulisha kwa Uongozi wa hospital Dr Nofali akizungumza na Madaktari hao walipofika Ofisini kujitambulisha wakiwa na wenyeji wao Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Diaspora Zanzibar Ukiongozwa na Mkurugezi wa Idara hiyo Ndg Adila Ujumbe wa Madaktari...

 

9 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA KISOMO DMV


Ndugu yetu Majid Zuberi anatuarifu Kisomo cha Hitima za Marehemu Mdogo Wake Abu Twalibu Zuberi Kajwangya Na Mama Mlezi Rehema Kajwangya misiba yote imetokea Kanyigo Bukoba.
Siku ya Jumamosi September 26, 2015Kuanzia Saa Kumi na Mbili jioni hadi Saa Tatu usiku (6PM – 9PM)
Anuani:Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr.Silver Spring, MD  20901
Kama Ilivyo ada, tunawaomba WaTanzania na Wana Jumuia wote wa hapa DMV tujumuike kwa Pamoja.
Ukipata Taarifa hii Tafadhali Mjulishe na Mwenzio.
Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA HARUSI DMV

Ndugu na rafiki watanzania wenzetu, tunafurahi kuwatangazia kwamba ndugu yetu, kijana wetu, mtanzania mwenzetu Boaz Kusaga anapata jiko karibuni. Bi. Harusi anaitwa Ngina Durva. Kufunga ndoa na sherehe vitafanyika July 26.

Kwa wale ambao mlikuwa hamfahamu, samahani kwa ujumbe kuwafikieni ukiwa umechelewa. Lakini kama wenzetu wasemavyo, "better late than never".
Jamani shughuli ni watu, na watu ndo sisi. Basi tujumuike tumsaidie Boaz kufanikisha shughuli hii. Asanteni sana.

Kwa habari zaidi na...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA

Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM: UFUNGUZI RASMI WA DARASA LA KISWAHILI DMV.




Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania unapenda kuwatangazia watanzania wote wanaoishi maeneo ya Washington DC, Maryland na Virginia kuhusu Madarasa ya Kiswahili yatakayoanza rasmi tarehe 24 January, 2015. 
http://2.bp.blogspot.com/-wi1cpjxwRtk/UWClBrUy3nI/AAAAAAABv7g/qTJocYlw-bc/s640/IMG_0402.JPG

 White Oak Community Recreation Center,1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904  Kuanzia tarehe 24/1/2015 Saa 9 mchana – 11 Jioni kila Jumamosi



                        Kwa maelezo zaidi  wasiliana na viongozi wafuatao:
Rais- Iddy Sandaly (301) 613-5165Makamu wa Rais – Harriet...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani