Nchi za Afrika zimeaswa kuimarisha mawasiliano katika utoaji wa taarifa zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchi Kenya, Dkt. Custodia Mandlhate akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika wa siku tatu unaoendelea jijini Nairobi.
Baadhi ya washiriki wa semina ya inayohusu namna ya kuimarisha mawasiliano na utoaji wa taarifa sahihi zinazohusiana na magonjwa ya mafua makali katika ukanda wa nchi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU KUIMARISHA MIFUMO YA UTOAJI TAARIFA ZA TAHADHARI KUHUSU TABIA NCHI NCHINI
BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
Michuzi02 Sep
Tanzania Kuongoza Nchi za Afrika katika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Mrykxs2Uc8/VAWoTcEZh5I/AAAAAAAAXlE/CjM2xIGdsmY/s1600/NABO%2BASSEY.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Juma Reli akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari za Fedha na Uchumi (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa semina hiyo jana mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani, Kulia ni Mwenyekiti wa washiriki hao Bw. Thomas Chilala na Kushoto ni Meneja Uhusiano na Itifaki wa Benki Hiyo Bi Zalia Mbeo.
Frank Mvungi- Maelezo, Bagamoyo
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi ili kuongeza wigo wa...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
MSIMU WA MAFUA MAKALI MAREKANI
Habari kutoka kituo cha
kudhibiti magojwa nchini Marekani “Center for Disease Control” ( CDC) 2014 -2015, inatufahamisha kuhusu kipindi cha mafua makali ( Severe FLU Season). Kipindi hiki kilichotawaliwa zaidi na virusi vya A H3N2,hujulikana kwa kuleta homa kali, ongezeko la wagojwa mahospitalini na hata vifo. CDC inatukumbushia umuhimu wa kila mmoja kupata Chanjo ya Flu na tiba ya haraka ya kupamba na virusi (Anti-viral drugs treatment) hasa kwa watu walio na kinga hafifu....
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Fanya mazoezi makali uzuie Mafua
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
TANGAZO LA CHANJO YA MAFUA MAKALI KUTOKA KAMATIYA AFYA DMV
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
KAMATI YA AFYA DMVINATUKUMBUSHIA KUCHUKUWA TAHADHARI KWA MAFUA MAKALI KWA KUPATA CHANJO YA MAFUA SASA
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe
Mwandishi Wetu Arusha
Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.
Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo10 Dec
‘Mfumo wa taarifa za magonjwa ya kuambukiza Afrika ni hafifu’
FUMO duni wa upatikanaji wa taarifa zinazohusu milipuko ya magonjwa ya kuambukiza kwa binadamu na wanyama katika nchi za Afrika umetajwa kuwa moja ya sababu kuu zinazochangia ongezeko la idadi ya vifo kutokana na mfumo huo kuchelewesha ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa hayo.