WAFUGAJI WAPATIWA NA TAWLA ELIMU YA KISHERIA NA USHAURI
Mwenyekiti wa wasaidizi wa kisheria wilaya ya Monduli Mkoani Arusha, Ibramih Melita akizungumza na wafugaji wa kijiji cha Nanja kwenye mafunzo ya kujengewa uwezo wa kisheria yaliyotolewa na Chama cha wanawake wanasheria nchini (TAWLA) jana.
Askari wa dawati la jinsia na watoto wa Mkoa wa Arusha, Baltazar Kitiku akizungumza na jamii ya wafugaji wa Kijiji Cha Nanja, Kata ya Lepruko Wilayani Monduli Mkoani humo, kuhusiana na kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwenye mafunzo yaliyotolewa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Apr
Wafugaji wapatiwa mafunzo kukabiliana na mafua makali ya Kuku na Nguruwe
Mwandishi Wetu Arusha
Zaidi ya wafugaji 300 wa Kuku na mifugo mbalimbali na wafanyabishara wa maduka ya madawa ya kilimo na mifugo wamepatiwa mafunzo ya utumiaji dawa mbalimbali za kutibu mifugo ya aina mbalimbali na virutubisho mbalimbali vinavyotolewa na kampuni ya BYTRADE (T) LTD ilikukwepa magonjwa ya mafuwa na aina nyingine za magonjwa na virutubisha vya mifugo.
Akizungumza katika semina ya kuwajengea uwezo wafugaji na wauza dawa za mifugo mkuu wa idara ya wanyama wa kampuni ya...
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Wajasiriamali Mkata wapatiwa elimu
SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy limetoa msaada wa kielimu kwa kikundi cha kinamama wajasiriamali kilichopo Kata ya Mkata, Mkoa wa Tanga kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuondokana na umasikini....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Njombe wapatiwa elimu ya virutubishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zdYJh2AAZng/VARu29dSsSI/AAAAAAAGZ10/O6zxv_N4iUo/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e92ip1jgc18/UxGgm0GPKiI/AAAAAAAFQYk/bX1gWpUGd2k/s72-c/unnamed+(4).jpg)
DODOMA MJINI WAPATIWA ELIMU YA VIRUTUBISHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e92ip1jgc18/UxGgm0GPKiI/AAAAAAAFQYk/bX1gWpUGd2k/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qWFGTPYfew/UxGgm4ackpI/AAAAAAAFQYg/TkNiYpV5ZZY/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s72-c/picture%2B1.jpg)
wakazi wa Meru wapatiwa elimu ya lishe
![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s1600/picture%2B1.jpg)
Mtaalamu wa Lishe Tom Mwaipenye kutoka taasisi ya Foot Print, akiwaeleza akina mama waishio maeneo yanayozunguka hospitali ya Halmashauri ya Meru mkoani Arusha, umuhimu wa Virutubishi kwa afya bora ya mwili na akili za mtoto, ikiwa ni sehemu ya kampeni za kuelimisha umma juu ya faida za kutumia Virutubishi ili kuboresha afya. Kampeni hizi zinaendeshwa na serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Taasisi ya Chakula na Lishe, na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-0cI27Ob2uuc/VCJxmJ32e5I/AAAAAAAGlbU/yY4onUHuAUs/s1600/picture%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yDQR11NQpnU/VCJxmTGtfsI/AAAAAAAGlbY/AoSQFy_rl48/s1600/picture%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s72-c/New%2BPicture%2B(14).png)
VIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s1600/New%2BPicture%2B(14).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0v8tNnrtwh4/VB6dE_7MGvI/AAAAAAAGk18/J-9vJUdJ7B4/s1600/New%2BPicture%2B(9).png)
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
700 wapatiwa elimu ya uzazi wa mpango
JUMLA ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 hadi 19 waliokatisha masomo katika shule za msingi na sekondari wilayani Kahama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kubeba mimba wamejitokeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdOvS1NzLFSU3ltvxarEkBD*hSWZRDpkPZxeM-mtbjaqO7cfxUFykS-DINGxK8W8AttWsFIQItK4OxvW5SmIsaH-/1.jpg?width=650)
WANAFUNZI 20 WAPATIWA UDHAMINI WA MASOMO YA ELIMU YA JUU