VIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s72-c/New%2BPicture%2B(14).png)
Mtaalamu wa masuala ya lishe na Afya ya jamii kutoka taasisi ya Footprint,Allan Rwechungura akiongea na viongozi wa Wilaya ya Monduli juu ya matumizi ya vyakula vilivyoongezewa virutubishi.Kampeni ya kuhamasisha matumizi a vyakula vilivyoongezewa virutubishi vijijii inaendelea katika wilaya mbalimbali nchini.
Viongozi wa kabila la Wamasai maarufu kama ‘Malaigwanani” wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa wataalamu wa masuala ya lishe kutoka wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s72-c/picture%2B1.jpg)
wakazi wa Meru wapatiwa elimu ya lishe
![](http://1.bp.blogspot.com/-2FogR6I6h50/VCJxjkn3iOI/AAAAAAAGlbM/-XqxRE30xsg/s1600/picture%2B1.jpg)
Mtaalamu wa Lishe Tom Mwaipenye kutoka taasisi ya Foot Print, akiwaeleza akina mama waishio maeneo yanayozunguka hospitali ya Halmashauri ya Meru mkoani Arusha, umuhimu wa Virutubishi kwa afya bora ya mwili na akili za mtoto, ikiwa ni sehemu ya kampeni za kuelimisha umma juu ya faida za kutumia Virutubishi ili kuboresha afya. Kampeni hizi zinaendeshwa na serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Taasisi ya Chakula na Lishe, na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-0cI27Ob2uuc/VCJxmJ32e5I/AAAAAAAGlbU/yY4onUHuAUs/s1600/picture%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yDQR11NQpnU/VCJxmTGtfsI/AAAAAAAGlbY/AoSQFy_rl48/s1600/picture%2B3.jpg)
11 years ago
MichuziWakaazi wa Morogoro mjini wapatiwa elimu ya lishe
10 years ago
Michuzi22 Jun
VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0408.jpg)
![Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0446.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Viongozi wa Kimasai waridhia kuacha ukeketaji mbele ya UNESCO
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0408.jpg)
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.
![Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0446.jpg)
Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Njombe wapatiwa elimu ya virutubishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zdYJh2AAZng/VARu29dSsSI/AAAAAAAGZ10/O6zxv_N4iUo/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Wajasiriamali Mkata wapatiwa elimu
SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy limetoa msaada wa kielimu kwa kikundi cha kinamama wajasiriamali kilichopo Kata ya Mkata, Mkoa wa Tanga kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuondokana na umasikini....
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e92ip1jgc18/UxGgm0GPKiI/AAAAAAAFQYk/bX1gWpUGd2k/s72-c/unnamed+(4).jpg)
DODOMA MJINI WAPATIWA ELIMU YA VIRUTUBISHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-e92ip1jgc18/UxGgm0GPKiI/AAAAAAAFQYk/bX1gWpUGd2k/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qWFGTPYfew/UxGgm4ackpI/AAAAAAAFQYg/TkNiYpV5ZZY/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
700 wapatiwa elimu ya uzazi wa mpango
JUMLA ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 hadi 19 waliokatisha masomo katika shule za msingi na sekondari wilayani Kahama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kubeba mimba wamejitokeza...