700 wapatiwa elimu ya uzazi wa mpango
JUMLA ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 hadi 19 waliokatisha masomo katika shule za msingi na sekondari wilayani Kahama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kubeba mimba wamejitokeza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Wajasiriamali 700 Iringa wapatiwa mafunzo
ZAIDI ya wajasiriamali 700 waliopatiwa mafunzo ya kutengeneza batiki, sabuni na keki wametakiwa kutumia elimu hiyo kwa vitendo ili wajikwamue kimaisha na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa juzi...
9 years ago
Habarileo21 Oct
Wataka kipaumbele uzazi wa mpango
BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee
9 years ago
Habarileo05 Dec
Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango
JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Wajasiriamali Mkata wapatiwa elimu
SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy limetoa msaada wa kielimu kwa kikundi cha kinamama wajasiriamali kilichopo Kata ya Mkata, Mkoa wa Tanga kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuondokana na umasikini....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Njombe wapatiwa elimu ya virutubishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-LvbOIeftmVE/VARu2O4s61I/AAAAAAAGZ1w/1HwE4bx17mA/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zdYJh2AAZng/VARu29dSsSI/AAAAAAAGZ10/O6zxv_N4iUo/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango
WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Vatican: Uzazi wa mpango suluhu ya mazingira