Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango

WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume

Wanasayansi wanadai kuwa dawa mpya liyozinduliwa ya mpango wa uzazi kwa wanaume imefanikiwa kwa asilimia 99.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango

Baadhi ya wanawake wanaamini kwamba wakitumia njia za kisasa wanaweza kuharibu maumbile yao ya mwili ya asilia pamoja na kupata ulemavu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wa Tanzania na uzazi salama

Wanaume nchini Tanzania wamekuwa wazito kutumia baadhi njia za uzazi wa mpango, hasa ile ya kudumu kwa kufunga uzazi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waandishi waaswa kuhimiza Afya ya Uzazi na Jinsia

DSC00405

Mratibu wa TACAIDS mkoa wa Singida, Fedes  Mdala, akizindua uhamasishaji wa masula ya ushiriki sawa wa
 masuala ya Afya ya Uzazi na Ujinsia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Mandewa mjini Singida.

 Na Nathaniel Limu

WAANDISHI wa habari mkoa wa Singida,wamehimizwa kutumia kalamu zao vema kuwaelimisha wanaume juu ya umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika masuala ya usawa wa afya ya uzazi na ujinsia,ili kuharakisha upatikanaji wa mabadiliko kwa upande wa wanaume waweze...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSI: Wanaume chanzo saratani ya mlango wa uzazi

WANAUME wametajwa kuwa chanzo kikuu cha wanawake kupata ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi ambayo imekuwa tishio kwa sasa. Mshauri wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la PSI-Tanzania, Dk. Mashafi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wana msimamo gani kuhusu uzazi?

Wanaume nchini Tanzania wana uelewa kuhusu uzazi wa mpango?

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamko wa wanaume kushiriki katika afya ya uzazi

Saa tano asubuhi katika kliniki ya Kirando iliyopo mkoani Rukwa, mama mmoja mjamzito anasubiri huduma katika ofisi ya mhudumu wa afya.

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAUME-5

Mti wa Mlongwe. WIKI iliyopita tuliangalia tiba ya mmea huu wa mlonge kwa wanaume na tukaahidi kwamba suala hili tutaendelea nalo pia wiki hii na leo tutaendelea na pande zingine pia, lakini kabla hatujaendelea tujikumbushie kwanza upande wa magome yake. MAGOME YA MLONGE
Kwa mwanaume mwenye tatizo la kuwahi sana kufika kileleni anaweza kutumia magome ya mti huu wa mlonge kwa kuvuna vizuri na hasa kwa upande mmoja siyo kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume waliofunga uzazi wadai nguvu za kiume zimeongezeka

Kuna njia mbalimbali za uzazi wa mpango na kila ya uzuiaji mimba ina faida zake na hasara. Hata hivyo kuna chaguo mbalimbali ambazo zinafanya kazi kwa kila mwanamke au mwanaume.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani