Mwamko wa wanaume kushiriki katika afya ya uzazi
Saa tano asubuhi katika kliniki ya Kirando iliyopo mkoani Rukwa, mama mmoja mjamzito anasubiri huduma katika ofisi ya mhudumu wa afya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA TAMASHA LA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA KATIKA SHULE YA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s72-c/PIX2a.jpg)
JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s640/PIX2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBj5JefuV2E/VksVNT5hswI/AAAAAAAIGYI/J5-tNm2zrus/s640/PIX2b.jpg)
10 years ago
MichuziKITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Wanaume wa Tanzania na uzazi salama
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango
WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
PSI: Wanaume chanzo saratani ya mlango wa uzazi
WANAUME wametajwa kuwa chanzo kikuu cha wanawake kupata ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi ambayo imekuwa tishio kwa sasa. Mshauri wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la PSI-Tanzania, Dk. Mashafi...