Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango

Baadhi ya wanawake wanaamini kwamba wakitumia njia za kisasa wanaweza kuharibu maumbile yao ya mwili ya asilia pamoja na kupata ulemavu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume

Wanasayansi wanadai kuwa dawa mpya liyozinduliwa ya mpango wa uzazi kwa wanaume imefanikiwa kwa asilimia 99.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaume waaswa kufuata uzazi wa mpango

WANAUME wametakiwa kufuata uzazi wa mpango kwa ajili ya kuimarisha familia zao na kupambana na hali ngumu ya maisha.

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO KWA WANAWAKE/WANAUME

LEO tuangalie tatizo la maambukizi katika njia ya mkojo (Urinary disorders) kwa wanawake na wanaume. Maambukizi haya yakiathiri sehemu za chini za kibofu cha mkojo kitaalamu huitwa simple cystitis au Bladder infection na maambukizi hayo yakitokea sehemu za juu za mfumo wa mkojo huitwa pylonephritis au kidney infection. Ugonjwa huu husababishwa na bakteria anayeitwa Escherichia coli. Tatizo hili husababishwa kwa kiasi kikubwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamko wa wanaume kushiriki katika afya ya uzazi

Saa tano asubuhi katika kliniki ya Kirando iliyopo mkoani Rukwa, mama mmoja mjamzito anasubiri huduma katika ofisi ya mhudumu wa afya.

 

10 years ago

GPL

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAUME-5

Mti wa Mlongwe. WIKI iliyopita tuliangalia tiba ya mmea huu wa mlonge kwa wanaume na tukaahidi kwamba suala hili tutaendelea nalo pia wiki hii na leo tutaendelea na pande zingine pia, lakini kabla hatujaendelea tujikumbushie kwanza upande wa magome yake. MAGOME YA MLONGE
Kwa mwanaume mwenye tatizo la kuwahi sana kufika kileleni anaweza kutumia magome ya mti huu wa mlonge kwa kuvuna vizuri na hasa kwa upande mmoja siyo kwa...

 

10 years ago

GPL

MAKOSA YA WANAWAKE, WANAUME KATIKA KURIDHISHANA

WAZEE wenzangu mwajionaje na hali? Hii ni  safu iliyoboreshwa ya Sindano ya Mahaba! Kazi yake kubwa ni kuelimisha jamii, hasa ya watu wanaozidi miaka kumi na nane, katika masuala ya  mapenzi na uhusiano. Kwa mara nyingine kona hii imekuja kutatua matatizo ya wengi katika uhusiano. Nitakuwa nikiongea na wasomaji akina baba, akina mama na wale wasiofikia hapo kupitia safu hii.Kwa kuanza tu, najipa ujasiri wa kusema kuwa,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki

DSC09657

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...

 

9 years ago

Michuzi

BONANZA LA UZAZI WA MPANGO KWA VIJANA LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurungezi Mkuu wa Marie Stopes Tanzania, Anil Tambay akizugumza na wananchi  (hawapo pichani)  kwenye bonanza la uzazi wa Mpango kwa vijana ambalo lilifanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwembeyanga,Temeke jijini Dar. 
 Mgeni rasmi Zukrah Mkwizu akizungumuza na wananchi (hawapo pichani) kuhusiana na suala zima la Uzazi wa Mpango,na kusisitiza kuwa uzazi wa mpangp ni silaha imara ambayo vijana wanaweza kuitumia kupangilia maisha yao na kujikinga dhidi ya utoaji mimba usio salama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani