Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki

DSC09657

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP

DSC00592

Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.

Na Nathaniel Limu, Iringa

WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaume waaswa kusindikiza wenza wao kliniki

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel BenderaWANAUME wamehimizwa kuwasindikiza wenza wao ambao ni wajawazito kliniki wakati wa kupima afya zao na kuwa nao karibu wakati wote wa malezi ya watoto wao.

 

9 years ago

GPL

MAMBO 12 WASIYOPENDA WANAUME KWA WAPENZI/ WAKE ZAO!

Assalam aleikum msomaji wangu, bila shaka unaendelea vema na maisha yako sambamba na maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu ambao zimebaki siku chache ili kumchagua yule unayeona anafaa kuliongoza taifa hili.Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye mada ya wiki hii ambayo inahusu mambo 12 wasiyoyapenda wanaume kwa wapenzi au wake zao.
Kujipamba kupitiliza Mwanamke kama mwanamke ni mapambo na ili awe mwanamke anao ulazima wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waandishi waaswa kuhimiza Afya ya Uzazi na Jinsia

DSC00405

Mratibu wa TACAIDS mkoa wa Singida, Fedes  Mdala, akizindua uhamasishaji wa masula ya ushiriki sawa wa
 masuala ya Afya ya Uzazi na Ujinsia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Mandewa mjini Singida.

 Na Nathaniel Limu

WAANDISHI wa habari mkoa wa Singida,wamehimizwa kutumia kalamu zao vema kuwaelimisha wanaume juu ya umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika masuala ya usawa wa afya ya uzazi na ujinsia,ili kuharakisha upatikanaji wa mabadiliko kwa upande wa wanaume waweze...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamko wa wanaume kushiriki katika afya ya uzazi

Saa tano asubuhi katika kliniki ya Kirando iliyopo mkoani Rukwa, mama mmoja mjamzito anasubiri huduma katika ofisi ya mhudumu wa afya.

 

9 years ago

Michuzi

MTANDAO WA WAANDISHI WA MASUALA YA HAKI YA AFYA YA UZAZI NA JINSIA WAZINDULIWA JIJINI DAR


Mratibu wa Uzazi Salama Kitaifa, Dk. Koheleth Winani akizungumza na waandishi wa habari za masuala ya haki jinsia na uzazi katika mkutano uliofanyika leo katika hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam.

Kaimu Mwenyekiti wa Mtandao wa waandishi wa habari wa Haki na Afya  ya Jinsia na Uzazi TAMENET–SRHR nchini,Siyovelwa Hussein akizungumza na waandishi wa habari wa wa Haki na Afya  ya Jinsia na Uzazi TAMENET–SRHR leo jijini Dar  es Salaam.Mratibu wa Uzazi Salama Kitaifa, Dk. Koheleth Winani...

 

10 years ago

Michuzi

Wabunge washiriki zoezi la kupima afya zao mjini Dodoma

Waziri wa Afya Mhe.Dkt Seif Rashidi aongoza zoezi la kupima afya za Wabunge katika Ukumbi wa Msekwa jana.Upimaji wa afya za Wabunge umefanywa na Madaktari wa Aga Khan kutoka Morogoro,Dar. na Dodoma.Waziri wa Afya Mhe.Dkt Seif Rashidi (kulia) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Agha Khan,Sisawo Konteh wakati wa zoezi la upimaji wa Afya kwa Waheshimiwa Wabunge,Mjini Dodoma jana.Katikani ni Mmoja wa Maafisa waandamizi wa Hospitali ya Agha Khan.Mbunge wa Jimbo la Mbeya...

 

10 years ago

Habarileo

'Wanaume washuhudie wake zao wakijifungua'

DHANA ya kutaka wanaume kushuhudia wake zao wakijifungua hospitalini, imeonekana kutokubalika kirahisi miongoni mwa jamii kutokana na kile kinachodaiwa kuwa mila na desturi nyingi hazitoi baraka juu ya hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaume wanaonyanyaswa na wake zao watoe taarifa’

SERIKALI imewataka wanaume kutoona haya na kufika kwenye madawati ya kijinsia yaliyopo katika vituo vya polisi nchini kutoa taarifa wanapofanyiwa vitendo vya kikatili na wake zao. Kauli hiyo ilitolewa mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani