‘Wanaume wanaonyanyaswa na wake zao watoe taarifa’
SERIKALI imewataka wanaume kutoona haya na kufika kwenye madawati ya kijinsia yaliyopo katika vituo vya polisi nchini kutoa taarifa wanapofanyiwa vitendo vya kikatili na wake zao. Kauli hiyo ilitolewa mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Wanaume wanaonyanyaswa wamesahaulika Katiba Mpya
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na mchakato wa kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, hakuna sheria inayotaja haki ya mwanamume. Pamoja na Tanzania kuwa nchi inayojali sheria za...
10 years ago
Habarileo23 Oct
'Wanaume washuhudie wake zao wakijifungua'
DHANA ya kutaka wanaume kushuhudia wake zao wakijifungua hospitalini, imeonekana kutokubalika kirahisi miongoni mwa jamii kutokana na kile kinachodaiwa kuwa mila na desturi nyingi hazitoi baraka juu ya hilo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60euZkcdX1iehPlEX6KKFjNdVjq5c9FOn1zYZX5GHd7kQDCYk0bkiiBBVh1KD8dD77CuKZP*isJjWJuPn5xPDMZoc/31393__MAPENZI1111.jpg)
MAMBO 12 WASIYOPENDA WANAUME KWA WAPENZI/ WAKE ZAO!
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP
Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...
10 years ago
Vijimambo20 Jun
HABARI NDIYO HII BAADA YA WANAUME KUONEWA NA WAKE ZAO HUKO NYERI KENYA WAPATA SULUWISHO
IMG_3210 from NY Ebra on Vimeo.
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wanaume kuwaunga mkono wake zao kupima saratani za matiti na shingo ya kizazi
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akikabidhi mashine ya kupimia saratani ya matiti kwa akina mama kwa uongozi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kulia). Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika kwenye Hospitani Kuu ya Jeshi Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27.2.2015. Aliyesimama pembeni kwa Mama Salma ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando na aliyesimama kulia kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s72-c/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Mahojiano ya Kamanda Ras Makunja na Zenj FM, asema Wanamuziki wa Bongo watoe kazi zao nje ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s1600/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Asema Ras Makunja.
Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule
nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa siku ya jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa...
9 years ago
MichuziTAARIFA ZA TAKWIMU SASA KUWEKWA HADHARANI ILI WANANCHI WATOE MAONI YAO JUU YA MAENDELEO