MAKOSA YA WANAWAKE, WANAUME KATIKA KURIDHISHANA
![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdh115kuj8PGKviYSrgzZ*ADE4YbS1ny8dheqTtABciP916tOJnTXYW-phXv-UAyNSRTEf3iZKjC3ZT7AIoUQi3/mahaba.jpg)
WAZEE wenzangu mwajionaje na hali? Hii ni safu iliyoboreshwa ya Sindano ya Mahaba! Kazi yake kubwa ni kuelimisha jamii, hasa ya watu wanaozidi miaka kumi na nane, katika masuala ya mapenzi na uhusiano. Kwa mara nyingine kona hii imekuja kutatua matatizo ya wengi katika uhusiano. Nitakuwa nikiongea na wasomaji akina baba, akina mama na wale wasiofikia hapo kupitia safu hii.Kwa kuanza tu, najipa ujasiri wa kusema kuwa,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO KWA WANAWAKE/WANAUME
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Ni makosa kuwatengeza nyusi wanaume Iran
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Wanawake, wanaume wanufaika mikopo ya Benki ya Wanawake
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, imesema hadi sasa Benki ya Wanawake Tanzania imewezesha kutoa mikopo kwa asilimia 77 ya wanawake nchini huku wanaume walionufaika na mikopo hiyo...
10 years ago
Habarileo05 Mar
Pengo la wanawake, wanaume lapaa
KATIKA kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, pengo la jinsia kati ya wanawake na wanaume linazidi kuongezeka mwaka hadi mwaka huku ikielezwa kuwa ni asilimia 10 tu ya maprofesa wanawake waliopo nchini.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Wanawake na wanaume walumbana Saudia
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Wanawake 20 wanaume 3 watekwa Nigeria
11 years ago
Habarileo06 Mar
'Wanaume waungeni mkono wanawake'
KATIKA kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wanaume wametakiwa kuwaunga mkono wanawake katika shughuli zao kwani kwa kufanya hivyo ni chachu ya kukuza uchumi na kuongeza maendeleo ya familia na hata ya taifa kwa ujumla.