Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni makosa kuwatengeza nyusi wanaume Iran

Wasusi nchini Iran wameonywa kutowatengeza wanaume nyusi zao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAKOSA YA WANAWAKE, WANAUME KATIKA KURIDHISHANA

WAZEE wenzangu mwajionaje na hali? Hii ni  safu iliyoboreshwa ya Sindano ya Mahaba! Kazi yake kubwa ni kuelimisha jamii, hasa ya watu wanaozidi miaka kumi na nane, katika masuala ya  mapenzi na uhusiano. Kwa mara nyingine kona hii imekuja kutatua matatizo ya wengi katika uhusiano. Nitakuwa nikiongea na wasomaji akina baba, akina mama na wale wasiofikia hapo kupitia safu hii.Kwa kuanza tu, najipa ujasiri wa kusema kuwa,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nyusi akutana na Nyalandu!

uh5

Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa kupitia chama cha Frelimo, Filipe Nyussi akizungumza na Waziri wa Mali Asili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu kwenye hoteli ya Hyatt Regency-The Kilimanjaro (katikati) ni Komredi Oscar Monteiro Waziri wa zamani katika serikali ya marehemu Samora Machel ambaye hivi  sasa anafundisha katika Chuo Kikuu kimoja Msumbiji.

 

10 years ago

Habarileo

JK ashuhudia Nyusi akikabidhiwa Msumbiji

Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji akiapaRAIS Jakaya Kikwete jana alikuwa miongoni mwa marais walioshuhudia Felipe Nyusi akiapishwa kuwa Rais wa Tano wa Msumbiji.

 

11 years ago

Michuzi

Kinana azungumza na Filipe nyusi

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mgombea wa Urais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi kwenye hotel ya Golden Tulip ambapo alikuwa na mazungumzo naye .
 Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro ambaye pia ni Waziri wa Katiba na Sheria akisalimiana na Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya Frelimo Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi, kabla ya kuanza mazungumzo kwenye hoteli ya Golden Tulip.
 Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi...

 

10 years ago

Zambia Daily Mail

Kikwete, Nyusi, Mutharika coming


Zambia Daily Mail
Kikwete, Nyusi, Mutharika coming
Zambia Daily Mail
PRESIDENT Jakaya Kikwete of Tanzania arrives in Zambia today for a State visit during which he will hold talks with President Lungu, and is expected to return to his country tomorrow. Minister of Foreign Affairs Harry Kalaba said on Monday that apart from Mr ...
Kikwete ComingAllAfrica.com

all 3

 

10 years ago

Michuzi

NYUSI AKUTANA NA WANAMSUMBIJI WA ZANZIBAR

 Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO Mh.Filipe Nyusi akipokea zawadi kutoka kwa Jumuiya ya watu wa Msumbiji wanaoishi Zanzibar.Mgombea wa Urais wa Msumbiji kupitia chama cha FRELIMO Mh.Filipe Nyusi akizungumza na Wananchi wa Msumbiji wanaoishi Tanzania ambapo alitumia fursa hiyo kuwaomba wampigie kura kwani amekuja na mikakati mizuri ya kuboresha uchumi ambapo amedhamiria kuiondoa Msumbiji kwenye orodha ya nchi masikini,pia aliahidi kuwawezesha wakina Mama wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani