Kinana azungumza na Filipe nyusi
![](http://3.bp.blogspot.com/-ngia2jnX1Es/U75HAKM2yvI/AAAAAAAAPV8/dlzxc4aL9-g/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mgombea wa Urais wa Msumbiji Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi kwenye hotel ya Golden Tulip ambapo alikuwa na mazungumzo naye .
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro ambaye pia ni Waziri wa Katiba na Sheria akisalimiana na Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya Frelimo Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi, kabla ya kuanza mazungumzo kwenye hoteli ya Golden Tulip.
Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa tiketi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 May
MO akutana na Rais Filipe Nyusi wa Mozambique jijini Dar
CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BLIaDWU8fpw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FVNw5giHrz0/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 May
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s72-c/8.jpg)
RAIS FILIPE NYUSI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OtyDhIkKdxE/VVkR1YlLMcI/AAAAAAAHX1o/s2gm5UeTawQ/s72-c/ny2.jpg)
RAIS WA MSUMBIJI FILIPE JACINTO NYUSI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-OtyDhIkKdxE/VVkR1YlLMcI/AAAAAAAHX1o/s2gm5UeTawQ/s640/ny2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oi0_c6PvIjE/VVkR1Wv5z8I/AAAAAAAHX1s/KM8zEHNlcH0/s640/ny3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lV9ZiBznFsM/VVkR6vV0m3I/AAAAAAAHX18/_pMUCJ12QnY/s640/ny4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 May
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kutua nchini Jumapili Mei 17 kwa ziara ya siku 3
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
Akitoa taarifa ya ziara hiyo leo jijini Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecki Sadiki amesema kuwa Rais Filipe Nyusi atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s72-c/Rais%2BNyusi.jpg)
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s640/Rais%2BNyusi.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9PaAgiwt2jc/VLa86lf8RyI/AAAAAAAG9Xo/m3EhPKtpqKU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
JK awasili maputo usiku huu kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe.Filipe Nyusi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-9PaAgiwt2jc/VLa86lf8RyI/AAAAAAAG9Xo/m3EhPKtpqKU/s1600/unnamed%2B(13).jpg)