Nyusi akutana na Nyalandu!
Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa kupitia chama cha Frelimo, Filipe Nyussi akizungumza na Waziri wa Mali Asili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu kwenye hoteli ya Hyatt Regency-The Kilimanjaro (katikati) ni Komredi Oscar Monteiro Waziri wa zamani katika serikali ya marehemu Samora Machel ambaye hivi sasa anafundisha katika Chuo Kikuu kimoja Msumbiji.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aZmSC1wZSPk/U8A9rL48sJI/AAAAAAAAPZo/20fdzThfkQk/s72-c/7.jpg)
NYUSI AKUTANA NA WANAMSUMBIJI WA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-aZmSC1wZSPk/U8A9rL48sJI/AAAAAAAAPZo/20fdzThfkQk/s1600/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VuJhulX_RiY/U8A9joFJFzI/AAAAAAAAPZg/0OwOEXgNySc/s1600/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 May
MO akutana na Rais Filipe Nyusi wa Mozambique jijini Dar
CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s72-c/1(1).jpg)
NYALANDU AKUTANA VIONGOZI WA UHIFADHI WANYAMAPORI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9C5dp7WZI6g/U8UDTXK4MVI/AAAAAAAABXE/Qh_cBZm-qEc/s1600/1(1).jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya Vulcan ya nchini Marekani Bw. Dave Stewart (kushoto) na Bi. Lauren Ryder, inayojihusisha na masuala ya kuidadi tembo katika nchi 18 barani Afrika ikiwemo Tanzania, baada ya kufanya mazungumzo maalum ya ushirikiano yaliyofanyika katika jiji la New York nchini Marekani jana.
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Nyalandu akutana na kamati ya bunge la Norway Jijini Dar
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu, akizungumza na Mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na Utalii ya Bunge la Norway,Ola Eluestuen (kushoto) na Balozi wa nchi hiyo hapa Tanzania Hanne-Mariekaarstad, walipofika ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuzungumza na kamati nzima ya bunge hilo.
Waziri Nyalandu akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo ya Maliasili na Mazingira mara baada ya kuzanza kwa mkutano huo jijini Dar es Salaam jana.
Waziri Nyalandu akisalimiana na mwenyekiti wa kamati...
10 years ago
Michuzi13 Sep
MHE. LAZARO NYALANDU AKUTANA NA WADAU WA UTALII NCHINI MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*AeoJrCD-1RWwYeS869yl1bJn1VO2YFxWxEQ1u7auY0JczD2QZZAD4Bi8MFh7yZPnzmvqiNAHnkAilo2i7yh*fA/1.jpg?width=650)
MHE. LAZARO NYALANDU AKUTANA NA WADAU WA UTALII NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziWAZIRI LAZARO NYALANDU AKUTANA NA TAASISI ZA UHIFADHI WANYAMAPORI JIJINI NEW YORK
11 years ago
Michuzi18 Jul
NYALANDU AKUTANA NA BALOZI WA HESHIMA MHE AHMED ISSA, BEVERLY HILLS CALIFORNIA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yJaI-TFtrz8/U8kk6sTA2NI/AAAAAAAF3Zg/RKwbPqid7TE/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WAZIRI LAZARO NYALANDU AKUTANA NA BALOZI WA HESHIMA WA UTALII BEVERLEY, LOS ANGELES MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJaI-TFtrz8/U8kk6sTA2NI/AAAAAAAF3Zg/RKwbPqid7TE/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1vIfOO0BdPw/U8kk7q30DuI/AAAAAAAF3Zo/rv7HhDWWB7c/s1600/unnamed+(31).jpg)