Nyusi akutana na Nyalandu!
Mgombea wa Urais wa Msumbiji kwa kupitia chama cha Frelimo, Filipe Nyussi akizungumza na Waziri wa Mali Asili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu kwenye hoteli ya Hyatt Regency-The Kilimanjaro (katikati) ni Komredi Oscar Monteiro Waziri wa zamani katika serikali ya marehemu Samora Machel ambaye hivi sasa anafundisha katika Chuo Kikuu kimoja Msumbiji.
Dewji Blog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania