Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakamatwa kwa kuwachoma wanaume 3

Watu 14 wamekamatwa katika jimbo la Bihar Kaskazini mwa India baada ya kushukiwa kuwachoma watu watatyu wakiwa hai pamoja na nyumba zao India

 

5 years ago

Michuzi

UGONJWA WA MATUNDU KWENYE MOYO NI MIONGONI MWA MAGONJWA HATARISHI KWA WATOTO WACHANGA


NA PATRICIA KIMELEMETA

UGONJWA wa matundu kwenye moyo kwa watoto wachanga ni miongoni mwa magonjwa hatarishi ambayo yanaweza kusababisha udumavu au wakati mwingine kifo Kwa mtoto.

Ugonjwa huo ambao unaathiri kuta za ventrikali za moyo au kwa kitaalamu ujulikana kama (Ventricular Septal Defect) (VSD) unashambulia moyo wa mtoto jambo ambalo linaweza kumuongezea maradhi mengine.

Mtoto mwenye matatizo hayo,anaweza kubainika mara baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa hali inaonyesha kuwa,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika ahusishwa na kashfa ya kuwauza watoto

Spika wa bunge la Niger ametoroka baada ya kamati ya bunge hilo kuafikia kukamatwa kwake kuhusiana na kashfa ya kuwauza watoto.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini kina mama walanazimika kuwauza watoto wao Venezuela

Mgogoro wa kiuchumi Venezuela unaosababisha baadhi ya kina mama ambao hawawezi kukidhi mahitaji ya watoto wao kuwatoa ama kwa hiari au kwa kulazimishwa

 

10 years ago

Mtanzania

Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Walioiga wimbo wa Pharrell wakamatwa Iran

Kikundi cha mashabiki wa muziki nchini Iran walioiga wimbo wa mwanamuziki maarufu wa Marekani Pharrell Williams, 'Happy' wamekamatwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto

11098377_1412805635702978_1854371883_n

Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani