UGONJWA WA MATUNDU KWENYE MOYO NI MIONGONI MWA MAGONJWA HATARISHI KWA WATOTO WACHANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xMwNWWaa9t0/XpGs6RGOTNI/AAAAAAALmyU/4PNGXXBdz6ozfdgI8mX2LAe0DXCjjnSWgCLcBGAsYHQ/s72-c/bizo.jpg)
NA PATRICIA KIMELEMETA
UGONJWA wa matundu kwenye moyo kwa watoto wachanga ni miongoni mwa magonjwa hatarishi ambayo yanaweza kusababisha udumavu au wakati mwingine kifo Kwa mtoto.
Ugonjwa huo ambao unaathiri kuta za ventrikali za moyo au kwa kitaalamu ujulikana kama (Ventricular Septal Defect) (VSD) unashambulia moyo wa mtoto jambo ambalo linaweza kumuongezea maradhi mengine.
Mtoto mwenye matatizo hayo,anaweza kubainika mara baada ya kufanyiwa vipimo ambapo kwa sasa hali inaonyesha kuwa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Watoto 14 na mama mjamzito ni miongoni mwa waliouawa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEUkfsDqxCmKz7lh0lmAF0NeaDCjegKXqwqOzg0kpeXzXiMFprUDPC-07HLfoxY1cv812JKOMUVYYLImi-7Fcywx/23jfigure.jpg?width=650)
UGONJWA WA TUNDU KATIKA MOYO KWA WATOTO-2
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Watoto 13,000 nchini huzaliwa na magonjwa ya Moyo
Na Modewji blog team
Imeelezwa kuwa, zaidi ya watoto 13,000 nchini, wanazaliwa na magonjwa ya moyo huku kati yao asilimia 25 pekee, wanahitaji matibabu ya ndani kwa kipindi cha mwaka mmoja mara baada ya kugundulika.
Aidha, mwaka 2013/14 jumla ya watoto 330 walihitaji matibabu, kati yao 128 walifanyiwa upasuaji.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam, na Makamu wa Rais wa Chama cha Madakatari wa Watoto Tanzania, Dk. Namala Mkopi(pichani), mbele ya waandishi wa habari.
Pia, chama hicho...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g1FwuFeGxMk/VU3fGRRoweI/AAAAAAAHWaU/EqgqdWyPm0g/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
TANZANIA YAANDIKA HISTORIA NYINGINE KWA KUZIBA MATUNDU YA MOYO BILA KUFUNGUA KIFUA
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi
Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.
Na Mwandishi wetu
Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo
Kauli hiyo imetolewa...