Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika ahusishwa na kashfa ya kuwauza watoto

Spika wa bunge la Niger ametoroka baada ya kamati ya bunge hilo kuafikia kukamatwa kwake kuhusiana na kashfa ya kuwauza watoto.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini kina mama walanazimika kuwauza watoto wao Venezuela

Mgogoro wa kiuchumi Venezuela unaosababisha baadhi ya kina mama ambao hawawezi kukidhi mahitaji ya watoto wao kuwatoa ama kwa hiari au kwa kulazimishwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Kitabu cha mafunzo ya ngono kwa watoto UG

Kwa wazazi wengi, ni vigumu kuzungumza na watoto wao kuhusu suala la ngono, na zaidi huwa mzazi hajui hata aanzie wapi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini watendaji wa mitaa hawazuii video za ngono kwa watoto wadogo?

NILIWAHI kuandika makala kama hii takriban miaka mitatu iliyopita, lakini kutokana na kile kinachoendelea kutokea katika baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam, lililojaa uchafu wa kila aina...

 

9 years ago

StarTV

Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.

Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jela miaka 50 kwa kuwaharibu watoto Kenya

Mahakama nchini Kenya imemhukumu kifungo cha miaka 50 jela raia mmarekani kwa kutengeza na kusambaza picha chafu za video za watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani