Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini watendaji wa mitaa hawazuii video za ngono kwa watoto wadogo?

NILIWAHI kuandika makala kama hii takriban miaka mitatu iliyopita, lakini kutokana na kile kinachoendelea kutokea katika baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam, lililojaa uchafu wa kila aina...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Google kwa watoto wadogo, tumejipangaje?

Kampuni ya Google, inaandaa matoleo ya huduma zake mbalimbali kama youtube, Gmail na nyingine zitakazokuwa maalumu kwa ajili ya watoto wadogo wa chini ya miaka 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

 

9 years ago

BBCSwahili

Kitabu cha mafunzo ya ngono kwa watoto UG

Kwa wazazi wengi, ni vigumu kuzungumza na watoto wao kuhusu suala la ngono, na zaidi huwa mzazi hajui hata aanzie wapi.

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wengi wadogo wanafanya ngono

WATOTO wa kike nchini wametajwa kujihusisha katika mapenzi katika umri mdogo kuliko wa kiume. Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete alisema takwimu zinaonesha kwamba asilimia 13 ya wasichana, wanaanza kufanya mapenzi wakiwa na umri wa chini ya miaka 15 wakati kwa upande wa wavulana ni asilimia saba.

 

5 years ago

Michuzi

DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akifafanya jambo katika mkutano wa kazi kwa watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, pamoja na wenyeviti wa vijiji vipatavyo 84 ambapo walikutana kwa lengo la kujadili masuala ya maendeleo pamoja na changamoto zilizopo.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...

 

9 years ago

StarTV

Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.

Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge Ndungulile aanika siri mpya za matumizi ya madawa ya kulevya kwa watoto wadogo

Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kigamboni Ndugu Faustine Ndungulile akifungua rasmi Baraza la kazi la UVCCM (W) Temeke mbele ya Wajumbe (hawapo pichani) lililofanyika kwenye ukumbi wa Malaika uliopo Kata ya vijibweni, Jimbo la Kigamboni. Picha na Emmanuel J. Shilatu --------------------------------------- Na Emmanuel J. Shilatu Mbunge wa Kigamboni Mhe. Faustine Ndungulile ameanika siri na aina mpya ya wauzaji wa madawa ya kulevya wanayoitumia katika kupanua wigo wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini familia zimekuwa 'zikiwauwa kwa heshima' watoto wao wa kike Pakistani?

Wanaume pia hulengwa , na ndugu za wanawake ambao wanadaiwa kushiriki nao katika uhusiano wa kimapenzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani