Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kitabu cha mafunzo ya ngono kwa watoto UG

Kwa wazazi wengi, ni vigumu kuzungumza na watoto wao kuhusu suala la ngono, na zaidi huwa mzazi hajui hata aanzie wapi.

 

10 years ago

Michuzi

ASKOFU MKUU WA KANISA LA INTERNATIONAL EVANGELISM CHURCH ISANJA AHUDHURIA MAHAFALI YA CHUO CHA BIBILIA

Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelism Church Eliud Isanja (wapili kushoto) akiwa katika mahafali ya chuo cha Bibilia kinachomilikiwa na kanisa hilo.watatu kushoto ni Mgeni Rasmi Kwa upande wake Askofu Mwangalizi wa  Kanisa hilo Israel Maasa.Picha na Mahmoud Ahmad.

 

11 years ago

Bongo5

Fundisho: Mwanafunzi wa chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono, baada ya kudanganywa angetafutiwa kazi Ulaya

Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu cha maana ni kupata utajiri kwanza. Sunday Bekunda Kundi la watu wanaofanya biashara ya kusafirisha watu, wamekuwa wakitumia fursa ya ukosefu wa ajira kama chambo cha kuwanasa vijana na kuwaingiza kwenye biashara haramu kama ukahaba. […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA SAKATA LA KUVAMIWA JARIDA LA VIKATUNI

Damu na makaratasi vikiwa vimetapakaa kila mahali katika ofisi za jarida la Charlie Hebdo  baada ya kuvamiwa na magaidi. Waandishi na wafanyakazi sita wa jarida la Charlie Hebdo waliouawa Jumatano iliyopita wakiwa katika picha ya pamoja ya mwaka 2000.  Waliozungushiwa duara ndiyo waliouawa ambao kutoka…

 

11 years ago

BBCSwahili

Zogo baada ya Msikiti kuvamiwa Kenya

Vijana walioghadhabishwa na tukio la polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutumiwa kuhubiri itikadi kali za kiisilamu mjini Mombasa, wamekabiliana na polisi kwa siku ya 2 leo.

 

9 years ago

Mwananchi

Picha za ngono ni hatari kwa afya ya ubongo

Utandawazi na ongezeko la maarifa katika teknolojia ya vifaa ya mawasiliano ya kidijitali, umesababisha kusambaa picha na video za ngono.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani