Zogo baada ya Msikiti kuvamiwa Kenya
Vijana walioghadhabishwa na tukio la polisi kuvamia msikiti unaosemekana kutumiwa kuhubiri itikadi kali za kiisilamu mjini Mombasa, wamekabiliana na polisi kwa siku ya 2 leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PHbtIw7zbFs/default.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Dec
5 years ago
BBCSwahili15 May
Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-StbA3hIeaDs/U5xux2bFu_I/AAAAAAAFqrI/OSGCvce6SDU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Seli imesitishwa baada ya zogo hadi ffu kuitwa shoprite mlimani city
![](http://3.bp.blogspot.com/-StbA3hIeaDs/U5xux2bFu_I/AAAAAAAFqrI/OSGCvce6SDU/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w70RCCzyYBg/U5xuxwbRzCI/AAAAAAAFqrE/Vumh0PUVAsA/s1600/unnamed+(21).jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
11 years ago
Michuzi04 Jul
NEWS ALERT: Msako mkali waanza Arusha baada ya Sheikh wa msikiti wa Qiblatan kujeruhiwa kwa bomu
Kutoka Arusha taarifa zinasema msako mkali unaendelea kufuatia shambulio la bomu la mkono alilotupiwa Sheikh wa msikiti wa Qiblatan Sood Ally Sood (37) uliopo eneo la Kilombero jijini Arusha wakati akila daku.Kwa mujibu wa taarifa hiyo imedaiwa kuwa Sheikh huyo amejeruhiwa sehemu mbalimbali ikiwemo miguu yake yote miwili sehemu za mapajani pamoja na Kifuani na kupoteza baadhi ya vidole vya miguu yote miwili.Mbali na Sheikh huyo pia kuna mtu mwingine aliyekuwa nyumbani kwake hapo...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
UN yashutumu kuvamiwa kwa ubalozi Iran
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar